dedam
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 845
- 165
da mnakumbuka bonge la vujo lilitokea mwaka 1995 kipindi hicho nipo f1. Chanzo wanafunzi walipigwa na makonda wa daladala la bona bana.mnakumbuka mwanafunzi nkuba masanja ngondi alipotea kipindi kili tukaingia msituni kumtafuta,mnakumbuka wanafunzi wa kisarawe junior walikuja kusoviwa pepa masela wakawachenjia du long time sana.ugomvi ktk bweni la shabani robert kati ya bosnia na kigali du. Mwembe met bado ipo?