Kilinzibar
Senior Member
- Mar 6, 2008
- 124
- 1
Haya wana JF naona watu wanatafutana sana hasa wale wa mashule...akina YOYO na IST!!! sasa basi wale wa Minaki Sec aka mlima kinyanyiko au watoto wa Mjale (RIP) mpo?!
duu....nilishasahau fangasi.mpaka leo wamenitia doa.lolmh makumbuka mendi ninaki lakini sitasahau kona ya kinyanyiko na utamu wa maji ya fangasi
duu....nilishasahau fangasi.mpaka leo wamenitia doa.lol
Vipi safari za kwenda Kisarawe kwa miguu kupitia katikati ya lile pori la mihogo na vichaka.
duh mwanangu Bata,kilizimbar na wengine wote wana kinyanyiko tupo tupo.Haki ya nani nimepitapita zangu hapa na kucheki hii mada ikakumbusha mbali kinoma....
si mchezo Bata umenikumbusha mihogo ya mama kinyogoli,,,haki ya nani hiyo miogo ndo ilikuwa my favourite snack around,,hivyo ma kinyogoli bado anapika mihogo lakini duh?
Big up sana kwa mwalimu Mbekya,ni moja kati ya waalimu wangu ambao sitasahau jinsi walivyokuwa self dedicated to the success of his students,,,bila kuwasahau Mr.Joho{maths},Mr.Banoba hahah,Ngatila,Mr.Msuya,,,,,ila kwa wale wa ku-drop siku za weekend ka mimi hatutamsahau and not to mention Ms.KIUNGAI,,,wa kudrop wananielewa.
MR. SOGOI?....hahahahh this dude is manace!...haha
"BABA MJALE"-RIP.....It was terrible loosing him,,,,kipindi kile tulikuwa tunaelekea kufanya paper ya mwisho form six ilikuwa masikitiko makubwa,to me he is one of the headmasters we need in our country,a true leader,a patriot who dearly love his young people,hence his country.
wana Mnyampala wote tupo mazee,bila kuwasahau wana Lumumba,Shebby Robby na Milambo.
Dah kudrop nako kulikuaga noma,mzee unakula pori mpaka njia panda bwana!!!! mpango ule kuomba ruhusa eti mpaka upewe kikaratasi shule nyingine bwana na mipangalio yakizushi sasa mwalimu wa zamu atakuringia weekitu chenyewe kikaratasi, watu kibao wanasubiria kwenye dirisha!!!
DUU,tupo wana minaki hapa.
Wankumbusha mbali enzi za muuza mboga mama kinyogoli miaka yetu ya 2001,2,3.
miogo mwanzo mwisho,ila nilikuwa nikila miogo tuu mbonji ya kufa mtu.
enzi hizo bweni letu lilikuwa LUMUMBA.
Big up walimu kama-MBEIKYA-Chemistry A level
-Mama Kafumu-Physics
-JOHO-A Maths
-Ngatila
Je mnakumbuka mwalimu mwenye vituko----SOGOI.?-Najuuta kumfahamu.
MWISHO BABA MPENDA WANAFUNZI WENYE AKILI---MJALE<RIP>
Namkumbuka alivokuwa anamfagilia mwanafunzi mmoja aliekuwa anajulikana kwa jina la KINABO-PCM baada ya kuwa wa kwanza kwa mock mkoa wakati wa mahafali.
PUGU kajiungeni je?
Kutembea kwa miguu toka mwanzo wa lami gongo la mboto.