X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
May be in his dream...Huh? Alitoa tamko bungeni kama alivyofanya kwa MJ?
Amandla....
Una uhakika na unacho kiandika....!?fechee2001 said:Si kweli kama Spika wa Bunge letu hakupeleka salamu za rambirambi. Ni utaratibu mzuri tuliojiwekea kwa Rais, Mawaziri, Wabunge na yeyote anayeguswa na msiba wowote kupeleka salamu za rambirambi, na ndiyo maana vyombo vya habari vikiwemo magazeti, redio, TV zote zilishiriki kikamilifu kwa hilo!