walakini wa spika kwa rambirambi za waco jacko!!

Bob K

Member
May 26, 2009
46
2
jamani mimi sikumwelewa vizuri mh heshimiwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania Samweli sitta wakati akitoa rambi rambi za king of the pop marehemu Michael jackson ni kweli nakiri kuwa umaarufu wa michael jakson ni mkubwa sana na amehusika katika matukiao mengi ya uchangiaji wa jamii za kimataifa na hasa Afrika laniki wiki hii tumempoteza mama yetu kipenzi katika muziki wa taarabu hapa nchini Bi Nasma hamisi kidogo licha ya kuwa alikuwa amepotea muda mrefu katika majukwaa lakini kila mtu anajua ukongwe wake na ndio maana hata magazeti mengine yalijaribu kutoa picha zake front page hata kama si kwa ukubwa wa michael jacson laniki cha kushangaza sikuskia bungeni kuzungumzwa au kutolewa kwa rambi rambi kama kuna aliyesikia akitajwa hata na mbunge au yeyote basi mtaniwia radhi kwa haya ninayofikiri kwani muungwana kuomba radhi ni sehemu ya maisha yake.

spika katoa rambi rambi lakini je tujiulize pamoja na kwamba kweli nakiri umaarufu wa Michael jackson ni zaidi ya nasma hamisi lakini Nasima huyu ni mtanzania tena anamchango wake katika sanaa hiyo ya muziki wa taarabu kwa tanzania katika haya yafuatayo hata kama hakuwai kutoa ama kwa njia nyingine kuchangia sehemu ya mapato yake kuisadia jamii ya hapa nyumbani lakini leo hii kuna wasanii wa muziki wa taarabu ni wanafunzi wake ambao wanaishi kwa kutegemea sanaa hiyo kwa sababu tu walikutana na marehemu nasima kidogo,ni kati ya wasaniii waliochangia kuendelea kuwepo kwa sannaa ya muziki wa taarabu hasa katika mapinduzi kutoka taarabu asilia na kuzaliwa kwa modern taarabu ambayo akina mzee yusuphu wa jahazi wanatambia na ndio maisha yao na kudumisha kwa uwepo wa sanaa hiyo ya muziki wa taarabu je huo siomcahango wakumfanya spika kumbuka leo bungeni hapo sijagusa marehemu issa matona sjui kama aliwahi kukumbukwa.

hata kama spika basi binafsi alikuwa ni mshabiki wa Michael jackson kuguswa kwake na kifo hicho ilikuwa ni lazima aseme bungeni kuonyesha hisia zake kwa wenzake kwanini asingeunganisha na kifo cha bi nasima ambaye wiki hii tumempoteza,ajiulize mtu hakuwepo katika majukwaa kwa muda mrefu lakini bado alipewa covarege ya kutosha sisi ni nchi iliyo katika mbio za kutafuta maendeleo mimi naona ni vyema tuwe tunatoa kipaumbele kwa wasanii wetu wa nyumbani pia kwani kama mbunge mmoja alivyosema hivi karibuni bunge letu linaonwa au habari zake zinatapakkaa ndani na nje je tunawafundisha nini vizazi vyetu vijavyo au ndo mnaturidisha nyuma wakati ule akija mwanamuziki wa kongo waziri mzima anaacha ofisi kwenda kumpokea air port mwisho katoka big brother waziri huyo kaenda air port hawachagui jambo gani useme wapi wala lipi uwende kuuungana na watanzania kila mwaliko wamo tu basi wakati mwingine tumeni watu wenu wa chini au waacheni wao waseme.

nina wasi wasi siku Ray,kanumba wakianguka hawatathaminiwa mchango wao na viongozi lakini akifa Anord shwarziniga litasemwa mpaka bungeni lakini tukumbuke hawa wakina Ray pamoja na uwezo wao mdogo wa kucheza filamu au huo huo wa kibongo bongo tunaouwita leo hii wamemfanya Mh Jakaya kikwete kufikiria kushusha ushuru kwenye vitendea kazi vyenye uwezo mkubwa kwa ajili ya viwanda vyetu vya kutengenezea filamu kwani wameonyesha kuwa wana nia ya kufanya mabadiliko na kujifunza utengenezaji wa filamu hapa bongo ni vyema tukawapa moyo kwani home is the best siku zote. sijui wenzangu mnasemaje?sikatai umaarufi wa the wacko jacko uko juu even me namfill lakini hata marehemu Nasima namfill sana tu na kaliacha pengo katika sanaa ya muziki wa taarabu hapa bongo pengo lake lipo!!
nahata kwa upande wa vyombo vya habari tujifunze kuwapa heshiama wasanii wetu mbalimbali wenye mchango mkubwa katika sanaa yao kama vile leo mijipicha mikubwa ilivyotoka katika Dar leo na Alasili tena front page.
 
Tusilinganishe visivyokuwa na uwiano. Michael Jackson hata siku moja huwezi kumlinganisha na wasanii wa bongo hata kwa ukucha. MJ ni international figure ambaye alivuta hisia za rika zote katika Music wake.

Lakini kubwa zaidi ni kwa MJ kuipa heshima Tanzania kama nchi pekee ya EA aliyowahi kutembelea wakati wa uhai wake. Na unajua publicity aliyoipatia Tanzania kwa kufanya ziara Tanzania, hata Rais mstaafu Ali H Mwinyi ametuma rambi rambi pia kwa familia ya MJ. Sasa tusimlaumu spika kwa hatua aliyochukua kwa kumpa lawama kuwa wasanii wetu wakifariki hata watumia rambirambi, Utawatumia wangapi Tanzania?.

Kwa mtazamo wangu hizi lawama kwa spika hazikustahili. Lakini pia rambirambi kwa mtazamo wangu is nothing zaidi kuonesha kuguswa na kifo cha mtu, huenda spika si shabiki wa mipasho.
 
Last edited:
Tusilinganishe visivyokuwa na uwiano. Michael Jackson hata siku moja huwezi kumlinganisha na wasanii wa bongo hata kwa ukucha. MJ ni international figure ambaye alivuta hisia za rika zote katika Music wake.

Lakini kubwa zaidi ni kwa MJ kuipa heshima Tanzania kama nchi pekee ya EA aliyowahi kutembelea wakati wa uhai wake. Na unajua publicity aliyoipatia Tanzania kwa kufanya ziara Tanzania, hata Rais mstaafu Ali H Mwinyi ametuma rambi rambi pia kwa familia ya MJ. Sasa tusimlaumu spika kwa hatua aliyochukua kwa kumpa lawama kuwa wasanii wetu wakifariki hata watumia rambirambi, Utawatumia wangapi Tanzania?.

Kwa mtazamo wangu hizi lawama kwa spika hazikustahili. Lakini pia rambirambi kwa mtazamo wangu is nothing zaidi kuonesha kuguswa na kifo cha mtu, huenda spika ni shabiki wa mipasho.

hilo linaeleweka wazi, unaposemea bungeni sio yeye binafsi ni spika kumbuka yeye anawakilisha bunge la watanzani na hata ingekuwa nje yeye ni kiongozi tu awezi kusema hapa nilizungumza kama mimi sio sipika,labada angesemea nyumbani kwake, na una hakika gani kama watanzania wote wameguswa kwani wengine hasa (waafirka) hawapendi maisha yake ya ajabu ajabu aliyokuwa akiishi the wacko jacko kama leo ungekuwa umeona bbc tv mchana ripota wa africa kusini aliulizwa wanachi wa huko wamekichuliaje kifo cha chake kwani wakati wao wanakandamizwa na kubaguliwa kwa rangi yao nyeusi jamaa alikuwa anabadili rangi toka nyeusi kuwa nyeupe upo!!( na hao ni wazungu) na hao wasanii wetu wangapia wanakufa kila siku kiasi cha kushindwa kuutambua mchango wao unajua kuwa First lady alihudhuria mazishi ya Bi nasima? jamaa kateleza tu haipendezi we unafikiri mkuu ni mshabiki wa Newcstle Simba imepigwa tatu bila na Al ahly misri anatangulia kuipa pole Newcastle ataeleweka huomfano tu? au hujui spika ni cheo gani katika nchi?
 
jamani mimi sikumwelewa vizuri mh heshimiwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania Samweli sitta wakati akitoa rambi rambi za king of the pop marehemu Michael jackson ni kweli nakiri kuwa umaarufu wa michael jakson ni mkubwa sana na amehusika katika matukiao mengi ya uchangiaji wa jamii za kimataifa na hasa Afrika laniki wiki hii tumempoteza mama yetu kipenzi katika muziki wa taarabu hapa nchini Bi Nasma hamisi kidogo licha ya kuwa alikuwa amepotea muda mrefu katika majukwaa lakini kila mtu anajua ukongwe wake na ndio maana hata magazeti mengine yalijaribu kutoa picha zake front page hata kama si kwa ukubwa wa michael jacson laniki cha kushangaza sikuskia bungeni kuzungumzwa au kutolewa kwa rambi rambi kama kuna aliyesikia akitajwa hata na mbunge au yeyote basi mtaniwia radhi kwa haya ninayofikiri kwani muungwana kuomba radhi ni sehemu ya maisha yake.

spika katoa rambi rambi lakini je tujiulize pamoja na kwamba kweli nakiri umaarufu wa Michael jackson ni zaidi ya nasma hamisi lakini Nasima huyu ni mtanzania tena anamchango wake katika sanaa hiyo ya muziki wa taarabu kwa tanzania katika haya yafuatayo hata kama hakuwai kutoa ama kwa njia nyingine kuchangia sehemu ya mapato yake kuisadia jamii ya hapa nyumbani lakini leo hii kuna wasanii wa muziki wa taarabu ni wanafunzi wake ambao wanaishi kwa kutegemea sanaa hiyo kwa sababu tu walikutana na marehemu nasima kidogo,ni kati ya wasaniii waliochangia kuendelea kuwepo kwa sannaa ya muziki wa taarabu hasa katika mapinduzi kutoka taarabu asilia na kuzaliwa kwa modern taarabu ambayo akina mzee yusuphu wa jahazi wanatambia na ndio maisha yao na kudumisha kwa uwepo wa sanaa hiyo ya muziki wa taarabu je huo siomcahango wakumfanya spika kumbuka leo bungeni hapo sijagusa marehemu issa matona sjui kama aliwahi kukumbukwa.

hata kama spika basi binafsi alikuwa ni mshabiki wa Michael jackson kuguswa kwake na kifo hicho ilikuwa ni lazima aseme bungeni kuonyesha hisia zake kwa wenzake kwanini asingeunganisha na kifo cha bi nasima ambaye wiki hii tumempoteza,ajiulize mtu hakuwepo katika majukwaa kwa muda mrefu lakini bado alipewa covarege ya kutosha sisi ni nchi iliyo katika mbio za kutafuta maendeleo mimi naona ni vyema tuwe tunatoa kipaumbele kwa wasanii wetu wa nyumbani pia kwani kama mbunge mmoja alivyosema hivi karibuni bunge letu linaonwa au habari zake zinatapakkaa ndani na nje je tunawafundisha nini vizazi vyetu vijavyo au ndo mnaturidisha nyuma wakati ule akija mwanamuziki wa kongo waziri mzima anaacha ofisi kwenda kumpokea air port mwisho katoka big brother waziri huyo kaenda air port hawachagui jambo gani useme wapi wala lipi uwende kuuungana na watanzania kila mwaliko wamo tu basi wakati mwingine tumeni watu wenu wa chini au waacheni wao waseme.

nina wasi wasi siku Ray,kanumba wakianguka hawatathaminiwa mchango wao na viongozi lakini akifa Anord shwarziniga litasemwa mpaka bungeni lakini tukumbuke hawa wakina Ray pamoja na uwezo wao mdogo wa kucheza filamu au huo huo wa kibongo bongo tunaouwita leo hii wamemfanya Mh Jakaya kikwete kufikiria kushusha ushuru kwenye vitendea kazi vyenye uwezo mkubwa kwa ajili ya viwanda vyetu vya kutengenezea filamu kwani wameonyesha kuwa wana nia ya kufanya mabadiliko na kujifunza utengenezaji wa filamu hapa bongo ni vyema tukawapa moyo kwani home is the best siku zote. sijui wenzangu mnasemaje?sikatai umaarufi wa the wacko jacko uko juu even me namfill lakini hata marehemu Nasima namfill sana tu na kaliacha pengo katika sanaa ya muziki wa taarabu hapa bongo pengo lake lipo!!
nahata kwa upande wa vyombo vya habari tujifunze kuwapa heshiama wasanii wetu mbalimbali wenye mchango mkubwa katika sanaa yao kama vile leo mijipicha mikubwa ilivyotoka katika Dar leo na Alasili tena front page.

Haya!

hilo linaeleweka wazi unaposemea bungeni sio wewe kama spika kumbuka yeye anawakilisha bunge la watanzani na hata ingekuwa nje yeye ni kiongozi awezi kusemahapa nilizungumza kama mimi sio sipika labada angemea nyumbani kwake, na una hakika gani kama watanzania wote wameguswa kwani wengine hasa (waafirka) hawapendi maisha yake ya ajabu ajabu aliyokuwa akiishi the wacko jacko kama leo ungekuwa umeona bbc tv mchana ripota wa africa kusini aliulizwa wanachi wa huko wamekichuliaje kifo cha chake kwani wakati wao wanakandamizwa na kubaguliwa kwa rangi yao nyeusi jamaa alikuwa anabadili rangi toka nyeusi kuwa nyeupe upo!! na hao wasanii wetu wangapia wanakufa kila siku kiasi cha kushindwa kuutambua mchango wao unajua kuwa First lady alihudhuria mazishi ya Bi nasima? jamaa kateleza tu haipendezi we unafikiri mkuu ni mshabiki wa Newcstle Simba imepigwa tatu bila na Al ahly misri anatangulia kuipa pole Newcastle ataeleweka huomfano tu? au hujui spika ni cheo gani katika nchi?

Haya umeshinda!. LOL!
 
Hapa ndio maana watu wanaamuaga kuwa mafisadi ili wapate recognition kwenye jamii. Maana ukifa maskini hutaona mtu mzito anahudhuria msiba wa mtu asiye na recognition inayotokana mara nyingi na fedha. Sisemi ufisadi ni mzuri, msininukuu vibaya!
 
jamani mimi sikumwelewa vizuri mh heshimiwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania Samweli sitta wakati akitoa rambi rambi za king of the pop marehemu Michael jackson ni kweli nakiri kuwa umaarufu wa michael jakson ni mkubwa sana na amehusika katika matukiao mengi ya uchangiaji wa jamii za kimataifa na hasa Afrika laniki wiki hii tumempoteza mama yetu kipenzi katika muziki wa taarabu hapa nchini Bi Nasma hamisi kidogo licha ya kuwa alikuwa amepotea muda mrefu katika majukwaa lakini kila mtu anajua ukongwe wake....

I agree with you charity should start at home...
and we should honour our own celebrities before honour other countries celebrities...!
Hofstede said:
...Sasa tusimlaumu spika kwa hatua aliyochukua kwa kumpa lawama kuwa wasanii wetu wakifariki hata watumia rambirambi, Utawatumia wangapi Tanzania?.
Wasanii wote ambao wamejitolea kwa hali na mali kuwaburudisha, kuwaliwaza na kuwaamasisha... Watanzania walio ndani na nje ya bara la Afrika.
 
wasanii wanaokufa TZ ni wengi sana, watu wenye mchango kwa taifa wanaokufa ni wengi sana, karibuni kila mTZ anamchango kwa taifa lakini tukukatae tusikubali vyovyote vile ukubwa wa mtu ndio unafanya mtu atumiwe rambi rambi...

kabla ya kumlaumu sita mlaumu mwinyi ambaye alimkaribisha ikulu na kutumua waziri wake wa mambo ya nje diria kumpokea (hii ni dhairi kwamba MJ uwezi kumuweka ligi moja na marehemu huyo mwanamuziki wa bongo).
wanasiasa kibao wamekufa lakini kupata coverage ya MJ sio rais,.
kumbuka MJ alipigania mpaka wanamuziki weusi wakawekwa MTV, leo hii kuna MTV base, africa...
pili hayo mambo ya kujibadilisha rangi mengi yamekuwa yakiletwa na media za watu weupe ili kujenga chuki zidi ya MJ

mbona mwinyi katuma rambi rambi kwa MJ
 
Natofautiana na nyie. Nasma hakuwa na mchango rasmi ktk jamii hii. Mziki wenyewe taarab ya kisasa? Eti mtu mzima ovyo, wadudu wananyemvua, sijui huna shep n.k. Hivyo ndo mnataka spika afagilie? Kumradhi lkn msubirini bi kidude muone. Hao ndo watu wa kupewa heshima. Michael had a special mission on the planet which unfortunately wasnt accomplished or accomplished
 
Kwani Spika wa bunge la Marekani (Mama Nancy Patricia D'Alesandro Pelosi) ametuma salaam rasmi za rambi rambi? Mbona Rais wake mwenyewe amemung'unyamung'unya salamu zake za rambi rambi? Nani katika familia ya Jackson amezisikia au kuzithamini hizo salamu za Spika wetu? Si heri hao wa bongo wangepata faraja kwa kutambuliwa na spika wao?

Tuache kujikomba na tuanze kuthamini kilicho chetu!

Amandla.......
 
Mziwanda
Natofautiana na nyie. Nasma hakuwa na mchango rasmi ktk jamii hii. Mziki wenyewe taarab ya kisasa? Eti mtu mzima ovyo, wadudu wananyemvua, sijui huna shep n.k. Hivyo ndo mnataka spika afagilie? Kumradhi lkn msubirini bi kidude muone. Hao ndo watu wa kupewa heshima. Michael had a special mission on the planet which unfortunately wasnt accomplished or accomplished

Hayo maneno aliyokuwa anayaimba MJ -- na yenyewe yana mantiki gani kwa kufagiliwa na Spika?
 
[QUOTE
Kwani Spika wa bunge la Marekani (Mama Nancy Patricia D'Alesandro Pelosi) ametuma salaam rasmi za rambi rambi? Mbona Rais wake mwenyewe amemung'unyamung'unya salamu zake za rambi rambi? Nani katika familia ya Jackson amezisikia au kuzithamini hizo salamu za Spika wetu? Si heri hao wa bongo wangepata faraja kwa kutambuliwa na spika wao?

Tuache kujikomba na tuanze kuthamini kilicho chetu!


Kweli kabisa. Tumekuwa vikaragosi, kutokujithamini na kujikombakomba tu.
 
Kutoa salamu za rambirambi kwa kifo cha mtu ambaye jamii ilimfahamu ni jambo jema, tena la kiutu. Kumbe sioni ubaya wa Spika wetu kutoa salamu za rambirambi kwa kifo cha MJ. MJ alikuwa ni mtu maarufu, aliyejulikana dunia nzima, na yapo mengi mazuri aliyoyatenda kwa jamii ya ulimwengu pamoja na madhaifu yake mengi.

Labda kitu cha kuumiza ni kuwa kwa nini Spika hakutoa salamu za rambirambi kwa kifo cha Nasma. Hakika ilifaa, kwani jamii ya Tanzania ilimfahamu, alikuwa ni mtu public. Jamii ya Tanzania ameifanyia mengi tu: moja ikiwa ni kuwaburudisha kwa muziki wa taarabu. Lakini pia kwa njia ya nyimbo zake za mafumbo aliweza kuikuza lugha ya Kiswahili na fasihi ya Kiswahili. Kwenye salamu za rambirambi kawaida tunaongea mema ya marehemu hata kama kuna madhaifu aliyafanya. Kumbe Spika alikuwa na mengi mema ya kuongea juu ya gwiji huyu wa muziki wa taarabu hapa TZ.

Kwa mawazo yangu Nasma hatuwezi kumsema kwamba hakufanya kitu kwa jamii ya Tanzania kwani kufanya kitu si lazima utoe fedha au uchangishe mchango wa harambee kwa ajili ya kusaidia watoto yatima. Kuburudisha watu kwa muziki peke yake ni mchango kwa watu. Kukuza lugha ya kiswahili kwa nyimbo zake ni mchango wa kutosha. Jamani mlitaka afanye nini ndiyo astahili kutambulika na kutolewa salamu za rambirambi?
 
MJ alikuwa ni International figure kama vile akina Bob Marley, Lucky Dube...... Pamoja na uimbaji wao lakini waliweza kutumia Influency yao kwa faida ya watu wengine. Mfano mtakumbuka USA for AFRICA (1985), ile ilikuwa ni mipango ya MJ na Harry Belafonte kutoa kilio cha bara la afrika kuhusu njaa (We are the World). Aliandika ule wimbo ambao uliimbwa kwa kuishirikiana na wanamuziki maarufu duniani kama vile Lionel Richie, Kenny Rogers, Steve Wonder, Smoky Robinson, Dianna Ross, Bruce Spreensteen n.k Na utagundua kuwa mapato yaliyopatika kutokana na muziki huo yalienda moja kwa moja kusaidia ku-curb baa la njaa Afrika.

Lucky Dube amekuwa akiimba nyimbo nyingi kuhusu ukombozi wa mwaafrika. Na yeye mwenyewe kwa njia moja au nyingine ameshiriki katika kuondoa siasa za kibaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini.

Celebrity wengine wanantumia umaarufu wao ku-push maendeleo katika jamii, lakini wengine wanafanya just kwa manufaa yao tu.
Hivyo si vibaya kuwakumbuka watu maarufu ambao kwa njia moja au nyingine wamesaidia kuleta maendeleo, usawa, uhuru n.k katika jamii.
No Offense intended here.
 
MJ alikuwa ni International figure kama vile akina Bob Marley, Lucky Dube...... Pamoja na uimbaji wao lakini waliweza kutumia Influency yao kwa faida ya watu wengine. Mfano mtakumbuka USA for AFRICA (1985), ile ilikuwa ni mipango ya MJ na Harry Belafonte kutoa kilio cha bara la afrika kuhusu njaa (We are the World). Aliandika ule wimbo ambao uliimbwa kwa kuishirikiana na wanamuziki maarufu duniani kama vile Lionel Richie, Kenny Rogers, Steve Wonder, Smoky Robinson, Dianna Ross, Bruce Spreensteen n.k Na utagundua kuwa mapato yaliyopatika kutokana na muziki huo yalienda moja kwa moja kusaidia ku-curb baa la njaa Afrika.

Hapa Tanzania ilipata pesa ngapi kutokana na hayo mauzo ya "we are the world"?


Lucky Dube amekuwa akiimba nyimbo nyingi kuhusu ukombozi wa mwaafrika. Na yeye mwenyewe kwa njia moja au nyingine ameshiriki katika kuondoa siasa za kibaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini.
Hope Speaker pia alipeleka salam za rambirambi kwa jamaa na marafiki wa Lucky
Celebrity wengine wanantumia umaarufu wao ku-push maendeleo katika jamii, lakini wengine wanafanya just kwa manufaa yao tu.
Hivyo si vibaya kuwakumbuka watu maarufu ambao kwa njia moja au nyingine wamesaidia kuleta maendeleo, usawa, uhuru n.k katika jamii.
No Offense intended here.
Kuna msanii anaye anza kwa kupush maendeleo katika jamii au anaanza kwanza kushibisha tumbo lake, akisha shiba ndio uwafikiria wengine?

Tunashindwa kuwawezesha wasanii wetu na kisha tunawaona kama mbwa koko, sikazi huyo spika huko nyumbani kwake watoto zake (kama anao) hawakosi kuwangalia hao wasanii wa kibongo wanao onekana kama visonoko.

Wasananii wa bongo si mlima kilimanjaro, wanatakiwa kuwezeshwa.
 
MJ alikuwa ni International figure kama vile akina Bob Marley, Lucky Dube...... Pamoja na uimbaji wao lakini waliweza kutumia Influency yao kwa faida ya watu wengine. Mfano mtakumbuka USA for AFRICA (1985), ile ilikuwa ni mipango ya MJ na Harry Belafonte kutoa kilio cha bara la afrika kuhusu njaa (We are the World). Aliandika ule wimbo ambao uliimbwa kwa kuishirikiana na wanamuziki maarufu duniani kama vile Lionel Richie, Kenny Rogers, Steve Wonder, Smoky Robinson, Dianna Ross, Bruce Spreensteen n.k Na utagundua kuwa mapato yaliyopatika kutokana na muziki huo yalienda moja kwa moja kusaidia ku-curb baa la njaa Afrika.

Lucky Dube amekuwa akiimba nyimbo nyingi kuhusu ukombozi wa mwaafrika. Na yeye mwenyewe kwa njia moja au nyingine ameshiriki katika kuondoa siasa za kibaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini.

Celebrity wengine wanantumia umaarufu wao ku-push maendeleo katika jamii, lakini wengine wanafanya just kwa manufaa yao tu.
Hivyo si vibaya kuwakumbuka watu maarufu ambao kwa njia moja au nyingine wamesaidia kuleta maendeleo, usawa, uhuru n.k katika jamii.
No Offense intended here.

Nitajie nyimbo mbili za Michael Jackson ambazo unaweza kuziita za ku-push maendeleo au kupigania haki ya mtu mweusi! Huo wa We are the World ulikuja baada ya kuona mafanikio ya wenzao weupe wa uingereza na wimbo wao wa ' Do they know it is Christmas,' na ulilenga katika tukio moja la njaa Ethiopia na si Afrika nzima. Angalau Bob Geldorf ameendeleza mapambano. MJ alikuwa wapi?

Nitajie mchango wa MJ katika harakati za civil rights movement ya Marekani. Hauwezi kumfananisha Michael Jackson na Harry Belafonte, Robert Nesta Marley, Lucky Dube ,James Brown au hata Flavor Flav. Yeye alikuwa entertainer par excellence, basi. Haya ya uana harakati hakuwemo. Kama ilivyokuwa kwa O.J. Tumpe sifa zake lakini tusitake kumchora upya.

Amandla.........
 
Si kweli kama Spika wa Bunge letu hakupeleka salamu za rambirambi. Ni utaratibu mzuri tuliojiwekea kwa Rais, Mawaziri, Wabunge na yeyote anayeguswa na msiba wowote kupeleka salamu za rambirambi, na ndiyo maana vyombo vya habari vikiwemo magazeti, redio, TV zote zilishiriki kikamilifu kwa hilo!
 
Si kweli kama Spika wa Bunge letu hakupeleka salamu za rambirambi. Ni utaratibu mzuri tuliojiwekea kwa Rais, Mawaziri, Wabunge na yeyote anayeguswa na msiba wowote kupeleka salamu za rambirambi, na ndiyo maana vyombo vya habari vikiwemo magazeti, redio, TV zote zilishiriki kikamilifu kwa hilo!

Huh? Alitoa tamko bungeni kama alivyofanya kwa MJ?

Amandla....
 
Back
Top Bottom