Jayfour_King
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 1,135
- 128
Wana JF, napenda kuwasilisha kifuatacho:
Sina sifa saana ya kujiita wa zamani, ila nakumbuka enzi hizo early to mid 60's wenyewe walikuwa wanaita nineteen sixty kweusi! ilikuwa si rahisi kumkuta mtu na mkwe wake wamekaa pamoja kwa hali yoyote ile!
Kwa baadhi ya tamaduni ilikuwa kwamba ikitokea unapita kwenye njia fulani kijijini halafu ukamuona mkweo kwa upande wa pili wa hiyo njia unayoelekea ni lazima utabadili njia hiyo kwani haikuwa heshima kukutana na mkweo bila mipangilio.
Lakini leo hii wapo hasa maeneo ya mijini ambapo watu wanakwenda Music na wakwe zao! Kitamaduni hii imekaaje?
Tuchangie bila jazba na nitafurahi wazee kuongoza mjadala.
Sina sifa saana ya kujiita wa zamani, ila nakumbuka enzi hizo early to mid 60's wenyewe walikuwa wanaita nineteen sixty kweusi! ilikuwa si rahisi kumkuta mtu na mkwe wake wamekaa pamoja kwa hali yoyote ile!
Kwa baadhi ya tamaduni ilikuwa kwamba ikitokea unapita kwenye njia fulani kijijini halafu ukamuona mkweo kwa upande wa pili wa hiyo njia unayoelekea ni lazima utabadili njia hiyo kwani haikuwa heshima kukutana na mkweo bila mipangilio.
Lakini leo hii wapo hasa maeneo ya mijini ambapo watu wanakwenda Music na wakwe zao! Kitamaduni hii imekaaje?
Tuchangie bila jazba na nitafurahi wazee kuongoza mjadala.