Wakuu Wenzangu nawuliza hili swali naomba majibu toka kwenu

kama amemkosea kwa nini asimwombe msamaha? Baba sio malaika!

Hayaka , napingana nawe kimtazamo kwa nguvu zangu zote! Mzazi hapaswi kumuomba apology mwanae kwa 100% !
Kisha niulize whay?
Chukua definition ya seek apology! Means "omba radhi"
ikiwa hivyo anaeombwa atakua na option au choice!
Ama akubali au akatae!
Ikatokea mtoto amekomaa akagoma kumsamehe mzazi wake , mpaka mmojawao akafa, itasemwa Mzazi wa flani amekufa na radhi ya mwanae?
Ikiwa mtoto ataombwa msamaha na mzazi wake basi itafikia mtoto kumlaani Babaake!
Hilo linawezekana?
 
Hayaka , napingana nawe kimtazamo kwa nguvu zangu zote! Mzazi hapaswi kumuomba apology mwanae kwa 100% !
Kisha niulize whay?
Chukua definition ya seek apology! Means "omba radhi"
ikiwa hivyo anaeombwa atakua na option au choice!
Ama akubali au akatae!
Ikatokea mtoto amekomaa akagoma kumsamehe mzazi wake , mpaka mmojawao akafa, itasemwa Mzazi wa flani amekufa na radhi ya mwanae?
Ikiwa mtoto ataombwa msamaha na mzazi wake basi itafikia mtoto kumlaani Babaake!
Hilo linawezekana?

Kama nimekuelewa mkuu japo umetumia herufi kubwa...
 
Kama nimekuelewa mkuu japo umetumia herufi kubwa...

Mtaly mambo?
Mbona umesahau kunibeep? Kumbuka nilikwambia techncl error ilitokea kwa my mob phone na all contacts, datas being deleted. Nimeanza upya registration.
 
Tena haitakiwi aombe radhi kwa kuzungusha kiswahili...........Anatakiwa aseme kabisa "Mwanangu niwie radhi, nilighafilika mzee mzima."
Na wewe unamwambia nimekusamehe mzee, kisha mnafunga ukurasa na kuanza ukurasa mpya na maisha yanasonga mbele......
Huo ndio uanaume.........
na uwanawake ndo upi mkuu
 
Back
Top Bottom