maliyamungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 564
- 412
Mwanangu wakike mdogo wa miaka 3 namwambia toka nje nivae. Kanijibu Mbona mama nae mwanamke umwambii toka nje.. Na kila siku ndio swali lake yapata wiki sasa nimjibu nini Wakuu? Busara plz!!
unategemea na unavyoilea familia yako,kaz hyo c yako anaitakiwa aifanye mkeo wakat we haupo,au mkeo naye tatzo nn?ucje ukawa umeoa msanii kama akna wema sepetu na irene uwoya
Usawa unakaba, familia inashare chumba baba mama na watoto--Fidq (Pilato na Game)
Nenda facebook
Asante kwa hekima mkuumnalala na mtoto chumba kimoja? Kama ndiyo miaka 3 ni wakati muafaka wa kumhamisha chumba.
Mtoto anafunzwa maadili angali mdogo, ni wakati wa kumfundisha hata kugonga mlango ili kuingia chumba chenu.
Khs swali lako unaweza mwambia ukweli kuwa mama yake ni mkeo, anaruhusiwa,ila yeye ni mtoto, ni vibaya,hadi akue atakapoolewa!
Si unajua wazee wetu walituambia ukimchungulia mkubwa utapofuka macho? Nayo ilileta utii kwa watoto mkubwa akivaa unaondoka ili usipofuke macho!