FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Nimetumiwa simu kutoka us tatzo haisomi laini zetu hapa bongo msaada wenu wakuu wapi naweza kuiflash isome laini za tz
Nenda posta kwenye maduka ya sapna,wanatoa hiyo huduma
Itupie chooni then uflash itaenda tu!
Itupie chooni then uflash itaenda tu!
mkuu nenda hapa www.freemyblackberry.com.Nimetumiwa simu kutoka us tatzo haisomi laini zetu hapa bongo msaada wenu wakuu wapi naweza kuiflash isome laini za tz
Nimetumiwa simu kutoka us tatzo haisomi laini zetu hapa bongo msaada wenu wakuu wapi naweza kuiflash isome laini za tz
Hiyo simu yako imelokiwa na kampuni gani?Maana sio kila kampuni unaweza ukatoa lock hata uwende sapna wanaweza wakashindwa.