chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 543
- 69
Kuna dalili uteuzi umechelewa kwa kuwa serikali haina fedha, maana nijuavyo mimi kila
kipindi cha uongozi wa Rais unapoisha ukuu wa Wilaya na ukuu wa mkoa nao unapaswa kuisha na hulipwa mafao
yote, then wanateuliwa wengine au haohao kwa mkataba mpya
hivyo hizo zote ni gharama za serikali
kipindi cha uongozi wa Rais unapoisha ukuu wa Wilaya na ukuu wa mkoa nao unapaswa kuisha na hulipwa mafao
yote, then wanateuliwa wengine au haohao kwa mkataba mpya
hivyo hizo zote ni gharama za serikali