Stanley Kolimba-Uyui,Samson Kamote-Bukoba,Hawa Ng'humbi-Bukombe.
daah kolimba mzee wa totoz naye nje?mida ya kazi utamkuta new fama hotel tabora anaunguruma tu na totoz hahahaha!kweli ukuu wa wilaya bure kabisa.
Alianzia Chunya,bdae akapelekwa Karagwe, Tarime na Kiteto! Kada wa ukweli ambaye huwa najiuliza kwanini hajawahi bahatika kuteuliwa ktk Sekretarieti ya CCM Taifa. Badala yake wanakuwemo watu kama Nape,Makamba na Mwigulu!Duh huyu jamaa nakumbuka alikuwa mkuu wa Chipukizi huko UVCCM kisha alikuwa kwenye mtandao fulani kisha akapewa ukuu wa wilaya ya Chunya na baadaye akapelekwa kwa akina Mwita kule Tarime. Nadhani ndio baadaye akahamishiwa kiteto na kuchinjiwa huko Kibaya! Niliwahi kunywa naye chai tukazungumza kidogo niliona kama ana future kumbe duh safari yake imeishia kwa akina Ole Nangoro.
Capt Gofrey katuni yeye kapangwa wapi? Alikuwa mkuu wa wilaya mbili,Musoma mjini na Musoma vijijini
Alianzia Chunya,bdae akapelekwa Karagwe, Tarime na Kiteto! Kada wa ukweli ambaye huwa najiuliza kwanini hajawahi bahatika kuteuliwa ktk Sekretarieti ya CCM Taifa. Badala yake wanakuwemo watu kama Nape,Makamba na Mwigulu!
Bora akipigwa chini alikua kisiasa na kusahau utendaji wilayani Rungwe
Capt Gofrey katuni yeye kapangwa wapi? Alikuwa mkuu wa wilaya mbili,Musoma mjini na Musoma vijijini
mgeni wenu anaitwa capt. Ngatuni siyo Katuni. Jamaa ametulia sana yule hana papara na ana busara.