Wakuu wa wilaya waliotemwa...

nayo hii imekuwa kidali poo. look for their names in other glob and web unatapa full list.
 
Dah Athuma ni Mdoe.. Amekuwa DC kwa muda mrefu sana! Tangu enzi ya Mkapa.. Alikuwa DC Ilala..
 
Kuna wengine walipewa ukuu Mikoa ile mipya Pascal Mabiti na yule wa Iringa mjini
 
kha! Huu mwaka kwake utakua na kumbukumbu tosha kapata mjukuu na ukuu wa wilaya kapigwa chini
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom