Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
- Thread starter
- #81
Ha ha haah!! Hujakosea kunipa hiyo wilaya!
Najua utendaji wako uliotukuka. Pga kazi mkuu
Ha ha haah!! Hujakosea kunipa hiyo wilaya!
Halafu sijajua anashauriana na nani katika uteuzi huu, huyo mshauri nae atakua sio makini kama Kurugenzi ya communication pale kwenye magogo!Mwanyasi huyu jamaa anatakiwa msaidizi siunajua hatofautiani na nanii wa tz white house....Teh hakawii kumteua konda kuwa waziri lolNgoja akimaliza tuangalie uteuzi wake kwa karibu
Dawa yake kumrusha Mafiaaaaa
Hapa umenikumbusha ile ya mtoto aliyeambiwa na baba yake wakija wageni awaambie hayupo. Mtoto walipokuja wageni wakasema "Baba yumo ndani kaniambia niwaambieni hayupo". Au ni siri kwa sauti kubwa? NWY, Hongera sana.Halafu huwezi kunitenga na nanii....yan Lushoto na mimi Arusha inawezekanaje?
Mrudishe Arusha mjini ndio tutaelewana
Halafu sijajua anashauriana na nani katika uteuzi huu, huyo mshauri nae atakua sio makini kama Kurugenzi ya communication pale kwenye magogo!
Nimesema nataka huku kwetu jamani mbona huelewi? Kwani unanipa bure?
Wifi mi nataka inayonihusu. . .sitaki kwenda kwa watu.
Halafu sijajua anashauriana na nani katika uteuzi huu, huyo mshauri nae atakua sio makini kama Kurugenzi ya communication pale kwenye magogo!
Maendeleo ulyoyapeleka Siha ni mazuri. Yapeleke Moshi mjini.
We Kongosho mie sipo ikulu badala yake mimi ni mmoja wa wanaoletewa taarifa za ikulu kutoka kwa bbaadhi ya watendaji wakuu pale ikulu, halafu wewe un bahati sana, nimeona MUSSOLIN kakuteua waziri wa jinsia na watoto baada ya kuiangalia avatar yako kwa makini!Mwanyasi wewe ndio mbea wa ikulu naskia.
Mheshimiwa karibu tena. Tulikumiss sana kiasi wengine walikuwa hawanyamaziki hapa.Yani ukerewe ni perfect for me
Hapo umempatia Husninyo aka mjasiriamali wa karanga, Namkumbuka pia!Mpwapwa pangemfaa Husninyo.. Nammiss sana ...
Mpwapwa pangemfaa Husninyo..
Nammiss sana ...
Hapo umempatia Husninyo aka mjasiriamali wa karanga, Namkumbuka pia!
Kwa nini Mkuu?