Wakuu wa Polisi sasa nadhani wajiuzuru......

BIG X

JF-Expert Member
Nov 4, 2011
777
212
Maandamano ni haki ya kila mtu duniani popote. Wanaposema kuna taarifa za kiitelinjisia kwamba kutakuwa na uvunjifu wa amani kwenye maandamano basi kazi ya polisi ni kupambana na hizo taarifa sio kuzuia maandamano. Kazi ya polisi itakuwa ni kuwatia nguvuni watu ambao watabainika kuvunja amani wakati maandamano yakiendelea. Kwahiyo kazi ya polisi ni kulinda Amani wakati wa maandamano sio kuzuia maandamano. Kuzuia maandamano hasa yanapokuwa na lengo maalum ni kuhatarisha Amani nchini, Na kuwafanya wananchi wapoteze imani kabisa na jeshi la polisi.

Huku ni kushindwa kazi kabisa kwa wakuu wa jeshi la polisi. kwa mtu yoyote mwenye akili atajua tu kazi inayofanywa na jeshi la polisi sasa sio kuleta amani tena ni kuvunja amani kwa sababu ya maslahi ya watu wachache nchini na sio kwa Taifa. kwa hili hamna budi viongozi wote wa jeshi la polisi mjiuzuru kabla hamjabeba dhambi zote za watanzania.
 
Hizo taarifa zao za kiinteligensia zinatuboa sana. Heri ya chadema wakitoa taarifa za kiinteljensia wanatoa na concrete details.
 
Maandamano ni haki ya kila mtu duniani popote. Wanaposema kuna taarifa za kiitelinjisia kwamba kutakuwa na uvunjifu wa amani kwenye maandamano basi kazi ya polisi ni kupambana na hizo taarifa sio kuzuia maandamano. Kazi ya polisi itakuwa ni kuwatia nguvuni watu ambao watabainika kuvunja amani wakati maandamano yakiendelea. Kwahiyo kazi ya polisi ni kulinda Amani wakati wa maandamano sio kuzuia maandamano. Kuzuia maandamano hasa yanapokuwa na lengo maalum ni kuhatarisha Amani nchini, Na kuwafanya wananchi wapoteze imani kabisa na jeshi la polisi.

Huku ni kushindwa kazi kabisa kwa wakuu wa jeshi la polisi. kwa mtu yoyote mwenye akili atajua tu kazi inayofanywa na jeshi la polisi sasa sio kuleta amani tena ni kuvunja amani kwa sababu ya maslahi ya watu wachache nchini na sio kwa Taifa. kwa hili hamna budi viongozi wote wa jeshi la polisi mjiuzuru kabla hamjabeba dhambi zote za watanzania.

Polisi wanahubiri proffesionalism, lakini nao wameishiwa kufanya kazi kwa maelekezo ya CCM. Hawako huru hata kidogo. Kwao hata maana ya utawala wa kidemocrasia hawajui maana yake. Waambie kuvurumusha mabomu, hapo utawapata vizuri. Chanzo cha haya yote, viongozi wao siyo kila asakari, ni kuanzia mtu mwenye nyota moja, analazimika kusaini mkataba maalum wa kuitumikia CCM.

nI AIBU KUBWA KUAMINI CHEO ULICHONACHO KI KWA FADHILA ZA CCM.

PITIA LINK HII.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/191183-kiburi-cha-watendaji-wa-umma-ni-hiki-hapa.html
 
Hizo taarifa zao za kiinteligensia zinatuboa sana. Heri ya chadema wakitoa taarifa za kiinteljensia wanatoa na concrete details.

ni wajinga tu, hawana jipya. wanawatesa askari wa chini ambao wanalazimika kufanya kazi kwa amri hata kama hawataki
 
Hivi wanalipwa kiasi gani kwa kutekeleza haya. Yani kodi yetu tunayolipa wenyewe inatumika kutuangamiza wenyewe!.
 
Maandamano ni haki ya kila mtu duniani popote. Wanaposema kuna taarifa za kiitelinjisia kwamba kutakuwa na uvunjifu wa amani kwenye maandamano basi kazi ya polisi ni kupambana na hizo taarifa sio kuzuia maandamano. Kazi ya polisi itakuwa ni kuwatia nguvuni watu ambao watabainika kuvunja amani wakati maandamano yakiendelea. Kwahiyo kazi ya polisi ni kulinda Amani wakati wa maandamano sio kuzuia maandamano. Kuzuia maandamano hasa yanapokuwa na lengo maalum ni kuhatarisha Amani nchini, Na kuwafanya wananchi wapoteze imani kabisa na jeshi la polisi.

Huku ni kushindwa kazi kabisa kwa wakuu wa jeshi la polisi. kwa mtu yoyote mwenye akili atajua tu kazi inayofanywa na jeshi la polisi sasa sio kuleta amani tena ni kuvunja amani kwa sababu ya maslahi ya watu wachache nchini na sio kwa Taifa. kwa hili hamna budi viongozi wote wa jeshi la polisi mjiuzuru kabla hamjabeba dhambi zote za watanzania.

yaani unataka wafukuzwe kwa kutekeleza wajibu wao? Je umesikia Uganda wenzako kusuku kukutana hata watu watatu tu na kuzungumzia siasa ni kosa.

Kazi za polisi ni kulinda raia na mali zao ikiwa pamoja na kusimamia na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa na kuhakikisha nchi inakuwa salama usalimini.

Nje ya hapo basi nguvu za Doula zitakuangukia.
 
Serikali ya mafisadi wanafanya mambo kifisadi fisadi,police wa chini wanalipwa mshahara kiduchu sana,lakini cha ajabu wanamapinduzi wanapotaka kuwakomboa wao wanakuwa wa kwanza kupinga na kupiga watu virungu,NYIE VIBARAKA AMKENI MNATUMIKA VIBAYA KWA MASLAHI YA FAMILIA ZAO.
 
yaani unataka wafukuzwe kwa kutekeleza wajibu wao? Je umesikia Uganda wenzako kusuku kukutana hata watu watatu tu na kuzungumzia siasa ni kosa.

Kazi za polisi ni kulinda raia na mali zao ikiwa pamoja na kusimamia na kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa na kuhakikisha nchi inakuwa salama usalimini.

Nje ya hapo basi nguvu za Doula zitakuangukia.

Wajibu gani!! wa kuvunja Amani Nchini!!
 
hivi wanalipwa kiasi gani kwa kutekeleza haya. Yani kodi yetu tunayolipa wenyewe inatumika kutuangamiza wenyewe!.
wajinga sana,wanabwabwajia laki na nusu mpaka tatu!!polisi ni manyang'au
 
Back
Top Bottom