BIG Banned
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 262
- 71
Hawa wakuu wa mikoa bungeni wiki nzima wanafanya nini!!, hawana kazi za kufanya!!. Haya sio matumizi mabaya ya pesa na muda kwa umma!!. Mheshimiwa wenje alilipua hili leo bungeni na alinikuna kweli wakati anawalipua.