eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 755
habari wakuu?
Mambo ya UDSM ndio kama mlivyosikia wakuu...
sasa kuna hizi scholarship za wadosi kama 18 hivi mwaka huu sijaona tangazo kabisa kwenye website yao ie. 12/13...
Nataka niombe nikauze nyago kwa wadosi maana kwa mkandala sirudi na siasa zake uchwara ananyanyasa manguli wa elimu nchini...
nawasilisha..!
Mambo ya UDSM ndio kama mlivyosikia wakuu...
sasa kuna hizi scholarship za wadosi kama 18 hivi mwaka huu sijaona tangazo kabisa kwenye website yao ie. 12/13...
Nataka niombe nikauze nyago kwa wadosi maana kwa mkandala sirudi na siasa zake uchwara ananyanyasa manguli wa elimu nchini...
nawasilisha..!