Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 945
- 1,817
Wakuu hawa jamaa nilifika Oral za interview zao lakini nikiwa sipo home nipo kwenye mishe zangu walikuja watu kwa Muda tofauti nyumbani kwetu wakiulizia akiwemo raia mmoja wa kigeni ninapokaa bila kujitambulisha wakauliza Niko wapi kwa sasa nimesoma shule gani? I am worried sina uhakika kama ndo wao au?
Kama kuna yoyote ashee experience zile Postal Code ambazo tunazijaza kwenye application naona ndo sababu data zinakua open hivi.
Kama kuna yoyote ashee experience zile Postal Code ambazo tunazijaza kwenye application naona ndo sababu data zinakua open hivi.