Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,161
Akitajwa Maalim Seif unasikia raha akitajwa Hamad Rashid tumbo la kuha..ra linakushika ha ha ha ha ha.
Kavinunua vyombo vya habari vimkweze, wewe hujaskiliza Zenj Fm tangu jana ukifungua radio anatajwa yeye tu! Lakini la msingi ieleweke kama 'Ustadh' huyu anajimaliza kisiasa. Ukiona mtu anatumia hadi speed ya mwisho katika kulifanya jambo jua hana hatua atakayoifika tena, hata mgonjwa utakapomuona anatumia punzi nyingi jua kifo hakiko mbali.