Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,314
- 33,108
Wakuu leo kwa mara ya kwanza nimekwama kukopi DVD film za hapo kwetu bongo (Tanzania) nimejaribu kukopi kwa kutumia Nero inakataa nawaombeni munisaidie kuna Softare ipi ya kuweza kukopi au ku convert File za (VOB) ili niweze kukopi kutoka kwa DVD inayotumia hiyo file ya VOB asanteni. Hata bongo nako kuna mambo ya (copy right) kasheshe kweli ahhh ndio maendeleo hayo .