Nimeachwa nyuma kidogo na update za madiwani wa CHADEMA waliofukuzwa Arusha. Je uchaguzi wao nao unafanyika April sambamba na wa mbuge wa Arumeru au bado kuna issue za kimahakama hazijakamilika?
Nimeachwa nyuma kidogo na update za madiwani wa CHADEMA waliofukuzwa Arusha. Je uchaguzi wao nao unafanyika April sambamba na wa mbuge wa Arumeru au bado kuna issue za kimahakama hazijakamilika?
Baada ya mahakama kutamka kuwa si madiwani tena mara baada ya kusikiliza kesi yao, wale jamaa 5 walikata rufaa. Mpaka sasa rufaa yao haijasikilizwa na kutolewa maamuzi, hivyo basi kata zao zipo kipolo mpaka rufaa ikisikilizwa na kutupwa. Subiri kidogo mambo nako yatapendeza
:cool2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.