chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Ana undugu na Kikumbi Mpango?!
Woye ni wabantu wa Congo-Kodofanian.....
Ana undugu na Kikumbi Mpango?!
Wachache nasema wachache, walivurugwa na utawala mbovu wa Kikwete, wanaweza kuwa watendaji wazuri katika utawala wa Magufuli
ni mtu na mdogo wake
Ndiyo ni ndugu yake pia
Ukiisha sikia ni kutoka wilaya za mipakani, wewe elewa tuu kuwa atatusaidia sana, kwa sababu kiukweli wenyewe tumeshindwa!. Ile mipaka iliwekwahaya majina ya mpango na lile la king kikii...
cc Pasco....
asante mkuu!kumbe alikuwa wizara ya fedha!kwa hivyo alikuwa anatupangia mipango 5 years ago leo hii tumuamini kwa kutupangia mpango wa coming 5 years.haya bana mi yangu macho.
Mkuu sensor kuna muda huruhusiwi kufunguka saana
mwenye cv za huyu mtu atuekee hadharani maana kwa mara ya kwanza wengi wetu tulimfahamu baada ya kukaimu ukamishina mkuu wa TRA na sasa naona profile yake inazidi kupanda tu baada ya kuteuliwa kuwa waziri tena wa wizara nyeti,,,Wizara ya fedha.
dr.Mpango ni nani na alikuwa akijihusisha na nn kabla ya profile yake kupanda ghaflaaaa????
Alikuwa anapanga mipango,lakini ilikuwa mipango haitekelezeki kwa sababu mbalimbali.sasa amepelekwa aone pesa inapopatikana ili aone ni vipi pesa ilikuwa haitoshi kupanga mipango!!!
Ukiisha sikia ni kutoka wilaya za mipakani, wewe elewa tuu kuwa atatusaidia sana, kwa sababu kiukweli wenyewe tumeshindwa!. Ile mipaka iliwekwa
na wazungu tuu lakini kule mipakani watu wote wa pande zote ni dugu moya!, hata alipokuja yule kijana wa kutoka nchumbiji, alitusaidia sana!, alipotoka si tukalongwa tukampa wa ku nyumba!, matokeo sote tunayajua!, tangu alipoingia huyu banyamulenge aliyelowea kule, si unashuhudia jinsi anavyochapa kazi, hivyo vha muhimu sio roots bali delivery!.
This guy is dam good!.
Pasco
Ukiisha sikia ni kutoka wilaya za mipakani, wewe elewa tuu kuwa atatusaidia sana, kwa sababu kiukweli wenyewe tumeshindwa!. Ile mipaka iliwekwa
na wazungu tuu lakini kule mipakani watu wote wa pande zote ni dugu moya!, hata alipokuja yule kijana wa kutoka nchumbiji, alitusaidia sana!, alipotoka si tukalongwa tukampa wa ku nyumba!, matokeo sote tunayajua!, tangu alipoingia huyu banyamulenge aliyelowea kule, si unashuhudia jinsi anavyochapa kazi, hivyo vha muhimu sio roots bali delivery!.
This guy is dam good!.
Pasco
kigoma nzima watu wake wengi wana asili ya kongo,burundi na rwanda
Probably sio mtu...labda ni watu au Mungu!
Ha ha ha!
Ukiisha sikia ni kutoka wilaya za mipakani, wewe elewa tuu kuwa atatusaidia sana, kwa sababu kiukweli wenyewe tumeshindwa!. Ile mipaka iliwekwa
na wazungu tuu lakini kule mipakani watu wote wa pande zote ni dugu moya!, hata alipokuja yule kijana wa kutoka nchumbiji, alitusaidia sana!, alipotoka si tukalongwa tukampa wa ku nyumba!, matokeo sote tunayajua!, tangu alipoingia huyu banyamulenge aliyelowea kule, si unashuhudia jinsi anavyochapa kazi, hivyo vha muhimu sio roots bali delivery!.
This guy is dam good!.
Pasco
Wachache nasema wachache, walivurugwa na utawala mbovu wa Kikwete, wanaweza kuwa watendaji wazuri katika utawala wa Magufuli