mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,513
- 10,404
Wakuu nita-disappear JF anytime from now for unforeseeable time (pls don't ask for more details), naenda fungateni kwetu Songea (pls don't ask for more details), ila nikipata kijinafasi nitakuwa nachungulia japo nigonge kile kitufe!
Aaaaha! nitawamisije wanaMMU....!!!
Hapa chini ngoja niweke kibonzo cha kuwaageni:
"wanaume wa bongo wakiingia ulaya, hali ya hewa ya ulaya inaathiri heshima ya bomba kushuka na nguvu hupotea kabisa, matokeo yake jogoo anagoma kuwika hata upepee na feni"
Vipi na wewe ulishawahi kusikia hii kitu?
Aaaaha! nitawamisije wanaMMU....!!!
Hapa chini ngoja niweke kibonzo cha kuwaageni:
"wanaume wa bongo wakiingia ulaya, hali ya hewa ya ulaya inaathiri heshima ya bomba kushuka na nguvu hupotea kabisa, matokeo yake jogoo anagoma kuwika hata upepee na feni"
Vipi na wewe ulishawahi kusikia hii kitu?