bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
hehehhee.Nakuaminia cheapesoni wangu...........
Sasa tuendelee na mchakato wa kumpeleka mtoto kubeba boksi....
Na BK kadhibitisha huyu mtoto ni damu yetu.
hahaaa kasema eti yeye hawezi kupakaziwa inaelekea mtoto katoka kopi raiti.....
mi nadahani wazungumze tena amicabily na mzazi mwenzie, kama bado ataleta ubishi BAK shemeji umpeleke mzazi mwenzio kwa pilato, mthibitishie mama hawezi kumtunza mtoto vizuri, ananlelewa na mtu mwingine, wewe binafsi una nafasi/uwezo w kumpa mtoto malezi stahiki kama mzazi......