drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
wakuu naombeni msaada laptop yangu imekuwa kmeo kila nikiwasha inawasha taa za blue tu baada ya sekunde inazima akuna kinachoendelea nimebahatika kuwaona wataalamu wawili wananiambia akuna jinsi aiwezi kupona cjakubali najua hapa kuna vichwa vikali nataraji kupata msaada