Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 692
- 546
Mimi ni kijana, ninatafuta kazi yoyote iliyo halali. Nipo Dar es Salaam, elimu yangu nimemaliza form four na ni mwaminifu.
TATIZO LA NINYI VIJANA MKIFIKA FORM 4 TU, TAABU KWELI KWELI ukipewa kazi ya kusambaza MAZIWA ulipwe 150,000/= marupu rupu yapo ukivuka kiwango ulichopangiwa kuuza kila siku, HAMTAKI KAZI KAMA HIZI MNAJIDAI WASOMI, MNATAKA KAZI ZA DUKANI, NA OFISINI ukihitaji ya usambazaji maziwa ni pm
watakuwa hawana shida ya kaziTATIZO LA NINYI VIJANA MKIFIKA FORM 4 TU, TAABU KWELI KWELI ukipewa kazi ya kusambaza MAZIWA ulipwe 150,000/= marupu rupu yapo ukivuka kiwango ulichopangiwa kuuza kila siku, HAMTAKI KAZI KAMA HIZI MNAJIDAI WASOMI, MNATAKA KAZI ZA DUKANI, NA OFISINI ukihitaji ya usambazaji maziwa ni pm
TATIZO LA NINYI VIJANA MKIFIKA FORM 4 TU, TAABU KWELI KWELI ukipewa kazi ya kusambaza MAZIWA ulipwe 150,000/= marupu rupu yapo ukivuka kiwango ulichopangiwa kuuza kila siku, HAMTAKI KAZI KAMA HIZI MNAJIDAI WASOMI, MNATAKA KAZI ZA DUKANI, NA OFISINI ukihitaji ya usambazaji maziwa ni pm
watakuwa hawana shida ya kazi
ha ha hahahawatakua hawanashida ya Maziwa!