unatumia browser gani?
mimi nina 5230 na juzi nimeapgredi kwenda kwenye Opera mini 6, spidi balaa na huku nilipo hata 3.5G sijui ni kitu gani. Napata EDGE tu (ikijitahiidi inafika 234.8kpbs)
Dipo Dar Kigamboni. Kuhusu settings wakuu ive been trying for quite sometimes lakini when i set to UMTS kama walivyoelekeza kwenye kitabu na anavyoshauri tototundu ila simu inakata network kabisa na kwa hiyo natumia ikiwa kwenye GSM ambayo inapendekezwa angalau kesevu power. Bado sijapata ufumbuzi, thanks for your kind attention though...
Kwani upo wapi wewe, coz 3.5G or WCDMA inapatikana Dar tu tena baadhi ya maeneo.mi mwenzio nipo na NOKIA C7 na mwendo wa kizee!!
Natumia line ya airtel na simu ni nokia X6. Ila nina tatizo na spidi ya kinyonga nikiwa nabrowse au kudownload kwenye net. Kama kuna yeyote mwenye uzoefu na hili anisaidie tafadhali...
Airtel coverage yake ya 3G ni kubwa, karibu major town zote zina access to 3G, nilikuwa Kahama miezi miwili iliyopita na nikawa nasurf kwa spidi kama niko Dar. Kikubwa ni settings tu, unatakiwa u-specify network type kwenye settings za simu yako.
Majority ya Nokia phones setting za type ya network ziko hivi:
Menu -> Tools -> Settings -> Phone -> Network, ukifika hapa mara nyingi simu nyingi zinakuwa zimesetiwa toka kiwandani zitumie "DUAL MODE", sasa wewe ukitaka 3G peke yake chagua "UMTS".
Hapo utaipata tu.
NB: Browser type huwa haina impact kubwa sana na spidi ya net, although browsers kama opera mini zinakuwa fasta kwenye simu kwa sababu content inayokuja kwenye simu yako tayari inakuwa compressed kwenye servers kabla ya kukufikia.