Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wakuu naomba munisaidie kuhusu hili suala je kuna umuhimu au kuna ulazima wowote wa mume pindi atokapo kazini au safarini kula chakula cha nyumbani hata kama ameshiba au hajisiki kula?
Hapa naongelea kuwa mume anawajibika kuhakikisha kuwa kila kinachohitajika nyumbani kipo na hakuna mapungufu yoyote?
Hapa naongelea kuwa mume anawajibika kuhakikisha kuwa kila kinachohitajika nyumbani kipo na hakuna mapungufu yoyote?