Leo nilikuwa chato, magufuli alikuwa na mkutano hapo. Alidai walimu waligoma kote isipokuwa arusha na moshi. Je ni kweli
hivi huwa ni kbila gani vile kuna mtu aliniambiaga eti ni muhaya ila anajitaja kuwa ni msukuma wa Chato hivi kuna ukweli hapo???....