Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
- Thread starter
- #21
Kaka asante kwa uzalendo wako nina imani wewe ni FFU lakini mzalendo hivyo unatupa taarifa ili tujiweke sawa asante sana kwani mara zote umekuwa unatupa taarifa kuwa mko njiani asante sana. Ombi langu kwako siku ukisikia Dr Ulimboka kafa usije kazini tunakutaarifu tu in advance kwani huo utakuwa mwanzo wa mwisho
Nimeipenda hii mkuu! mi natokea njia hii na ni mara ya pili nikiwa njiani kwenda job wananipita njiani!