wakuu hp yangu haieleweki eleweki!!msaada

white wizard

JF-Expert Member
May 18, 2011
8,312
13,277
nina pc yangu,naweza kuiwasha na kufanya kazi,kama kawaida ila cha ajabu inazimika gafla tu!na kuanza tena inafikia hadi neno window xp linaonekana tena inazima inaanza tena,inaweza ikachukua hata dk 20,ndio inakubali,na hata hivyo utafanya kazi kidogo tu inazima tena!tatizo itakuwa nini? Wakuu.
 
Japo unahitaji kujua tatizo ni nini, mi nakushauri u-copy vitu vyako mapema na ufanye clean install ya OS.

Sababu zinaweza kuwa nyingi, inaweza ikawa virus au kuna installation ulifanya ikasababisha.
Kwa kifupi variables ziko nyingi so nakushauri ufanye kama nilivyokwambia hapo juu.
 
Unatumia Antivirus gani? kuna uwezekano computer imekuwa affected na virus...hakikisha Antivirus ipo Active, ikiwaka Scan Master Boot Record...ikikataa tafuta cd ya OS unayotumia Repair hiyo windows itakuwa poa....kuformat computer ni option ya mwisho sana.....
 
Unatumia Antivirus gani? kuna uwezekano computer imekuwa affected na virus...hakikisha Antivirus ipo Active, ikiwaka Scan Master Boot Record...ikikataa tafuta cd ya OS unayotumia Repair hiyo windows,nat poa....kuformat computer ni option ya mwisho sana.....
natumia Avira antvirus.
 
nina pc yangu,naweza kuiwasha na kufanya kazi,kama kawaida ila cha ajabu inazimika gafla tu!na kuanza tena inafikia hadi neno window xp linaonekana tena inazima inaanza tena,inaweza ikachukua hata dk 20,ndio inakubali,na hata hivyo utafanya kazi kidogo tu inazima tena!tatizo itakuwa nini? Wakuu.

Ikikubali kuwaka tena nenda kwenye computer management cheki system event( Event viewer) . Hiyo kuna error itakuwa imereodiwa inayoeleza kwa nini computer ilijizima. From there unaweza kujua nini cha kufanya. Mara nyingi error zenye matatizo zina alama nyekundu. na kwa kesi yako cheki System event . Kwa kutumia date na time ya event ya kujizima inapotokea utajua event sahihi yenye kusabisha tatizo.....



NB
Event viewer ni moja ya nyenzo nzuri sana kwenye windows ya kuelezea, kuangalia na kutathimini afya ya mashine yako. So use it.......

Altenatvely kwa kubahatisha na utabiri na kuchanganya na experince nahisi inaweza kuwa dalili za HDD kufa au tatizo la bad sectors. So kujua kama HDD ina tatizo jaribu ku run command ya check disk kwenye DOS au kwa GUI

chkdsk /f . Kama HD ina matatizo process ya kuchei na kufix i inaweza kuchukua muda Maelezo zaidi soma Microsoft Corporation
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom