hapo wanakuwa na vijiba vya roho mwanamke hapendi kuzidiwa uzuri na mwanamke mwenzie hapo kasoro lazima zitatolewa. na si unajua hayo ma wowowo siku hizi ni mtaji so wakiona mwenzao analo basi wanajua mambo swaaafi
Wanawake wengi hutamaniana kingono, kwani hujasikia kuhusu ma-lesbo na bi?
Hii si kweli!
Navyojua mimi wao huwa wanashindana, kwahiyo wanapomwangalia
mwenzao huwa wanajaribu kujilinganisha nani zaidi. Kama hufahamu
wadada wengi huvaa vizuri kwaajili ya kushindana na wadada wengine.
Pia naelewa kuwa kunawale ambao huvaa ili kujisikia vizuri bila kujali
wengine watawafikiria vipi lakini hawa si wengi.
Wadada mnaweza kunisahihisha kama nimekosea hapa.