Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Sep 4, 2012 #1 Wakuu hii ilikua ni mechi ya wapi na wapi???
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Sep 5, 2012 #3 Kupigana pia hawajui...hata mademu hawazipigi hivyo
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Sep 5, 2012 #4 wanapigana kama bata wachovu.
Ringo Edmund JF-Expert Member May 10, 2010 4,879 1,125 Sep 5, 2012 #6 hawa mabwabwa wa wapi? wakamwulize chibe chibindu mkono unapigwaje?
mtamanyali JF-Expert Member Dec 6, 2011 1,161 613 Sep 5, 2012 #7 haya lazima yatakuwa mapunga tuu, ngumi gani wanapigana hivyo?
asrams JF-Expert Member Sep 4, 2011 4,799 2,645 Sep 5, 2012 #8 Hahaha Louis Fabiano na Diogo, ilikua game ya Sevilla na Zaragoza Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
Hahaha Louis Fabiano na Diogo, ilikua game ya Sevilla na Zaragoza Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
S SURUMA JF-Expert Member Mar 22, 2011 2,892 1,064 Sep 5, 2012 #9 Ndallo said: Wakuu hii ilikua ni mechi ya wapi na wapi??? Click to expand... Ngumi za BOMBANI (DAWASCO Kiosk ya Maji) Mwananyamala Kwa Bibi Nyau (mabinti) kugombea KUHAMISHA NDOO KATIKA FOLENI
Ndallo said: Wakuu hii ilikua ni mechi ya wapi na wapi??? Click to expand... Ngumi za BOMBANI (DAWASCO Kiosk ya Maji) Mwananyamala Kwa Bibi Nyau (mabinti) kugombea KUHAMISHA NDOO KATIKA FOLENI