babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,091
- 15,983
leo nafikisha miaka 33,SIAMINI KAMA NI MIMI
@nikikumbuka enzi ya kupika mchanga kwenye kikopo cha blue-band huku mkicheza mchezo wa baba na mama
@nikikumbuka enzi za kucheza kombolela
@nikikumbuka enzi za kutengeneza magari ya waya mpaka nikawa na jina a.k.a MJAPANI-gari gani ulikosa kwangu?mecedess benz,basi leyland,tipper,504 yote utayakuta kwenye yadi
@nikikumbuka kipindi cha primary kwenda na mfagio shule na kula asikilimu break time na mabumunda
@nikikumbuka walimu wangu enzi hizo waliokuwa wanasifika kuchapa viboko kwa style tofauti hasa mwalimu MBOGELA na MWAGALA na MKUNILA
@nikikumbuka videmu vyangu vireeembo nilikua nakaa navyo dawati moja huku tukichangia kila kitu,josephine,mgeni,ashumta
@nikikumbuka naanza darasa la kwanza siku ya kwanza nikamchapa jamaa ngumi ya uso kisha kuachishwa shule.
@nikikumbuka pale barua ya mapenzi ikiwa na jina langu kukamatwa shule huku nikiwa si mimi nilioiandika mama akiwa mwalimu akaipeleka nyumbani kisha baba kuniadhibu kama mbwa mwizi.
@nikikumbuka pale baba alipofariki kwa imani za kichawi baada ya kusimamia mirathi ya rafiki yake kisha maisha yote kugeuka juu chini.
@nikikumbuka pale nashushwa kwenye basi la relwe iringa huku askari akiruhusu basi liendelee na safari na familia yangu bila mimi
@nikikumbuka girl-friend wangu wa kwanza house-girl.
@nikikumbuka kulazwa polisi kwa mara ya kwanza na mama watoto wangu(na ikaendelea mara tatu)
@nikikumbuka siku niliyoachwa na basi KWACHA rujewa kisha kuanza kulikimbilia mpaka liliposimama km umbali wa km 5.huku nikiwa nimeacha viatu vyangu vipyaaa nyuma enzi hizo tuliviita mbeya glocs au sido,magongo
@pale niliposingiziwa nimekufa:A S-danger:kisha kukutana na mtu anayenijua akanikimbia akizani mzuka
yaaani ni mengi ambayo nikiendelea kukumbuka nitamaliza kurasa zote za JF,sikutegemea kama nitakuwa hapa leo,MUNGU MKUBWA
BY THE WAY:NEXT WEEK TAREHE 25 june FRIDAY NAOA RASMI -MEMBER WOTE WA JF MNAKARIBISHWA NA TUTASHEREHEKEA HAPA HAPA,KAMATI YA VINYWAJI MUONE MASANILO NA CHRISPIN UKIPUNGUKIWA.
@nikikumbuka enzi ya kupika mchanga kwenye kikopo cha blue-band huku mkicheza mchezo wa baba na mama
@nikikumbuka enzi za kucheza kombolela
@nikikumbuka enzi za kutengeneza magari ya waya mpaka nikawa na jina a.k.a MJAPANI-gari gani ulikosa kwangu?mecedess benz,basi leyland,tipper,504 yote utayakuta kwenye yadi
@nikikumbuka kipindi cha primary kwenda na mfagio shule na kula asikilimu break time na mabumunda
@nikikumbuka walimu wangu enzi hizo waliokuwa wanasifika kuchapa viboko kwa style tofauti hasa mwalimu MBOGELA na MWAGALA na MKUNILA
@nikikumbuka videmu vyangu vireeembo nilikua nakaa navyo dawati moja huku tukichangia kila kitu,josephine,mgeni,ashumta
@nikikumbuka naanza darasa la kwanza siku ya kwanza nikamchapa jamaa ngumi ya uso kisha kuachishwa shule.
@nikikumbuka pale barua ya mapenzi ikiwa na jina langu kukamatwa shule huku nikiwa si mimi nilioiandika mama akiwa mwalimu akaipeleka nyumbani kisha baba kuniadhibu kama mbwa mwizi.
@nikikumbuka pale baba alipofariki kwa imani za kichawi baada ya kusimamia mirathi ya rafiki yake kisha maisha yote kugeuka juu chini.
@nikikumbuka pale nashushwa kwenye basi la relwe iringa huku askari akiruhusu basi liendelee na safari na familia yangu bila mimi
@nikikumbuka girl-friend wangu wa kwanza house-girl.
@nikikumbuka kulazwa polisi kwa mara ya kwanza na mama watoto wangu(na ikaendelea mara tatu)
@nikikumbuka siku niliyoachwa na basi KWACHA rujewa kisha kuanza kulikimbilia mpaka liliposimama km umbali wa km 5.huku nikiwa nimeacha viatu vyangu vipyaaa nyuma enzi hizo tuliviita mbeya glocs au sido,magongo
@pale niliposingiziwa nimekufa:A S-danger:kisha kukutana na mtu anayenijua akanikimbia akizani mzuka
yaaani ni mengi ambayo nikiendelea kukumbuka nitamaliza kurasa zote za JF,sikutegemea kama nitakuwa hapa leo,MUNGU MKUBWA
BY THE WAY:NEXT WEEK TAREHE 25 june FRIDAY NAOA RASMI -MEMBER WOTE WA JF MNAKARIBISHWA NA TUTASHEREHEKEA HAPA HAPA,KAMATI YA VINYWAJI MUONE MASANILO NA CHRISPIN UKIPUNGUKIWA.