Wakumbuka nini enzi za shule ya msingi?

Hehehe! Hahaha! Hahaha! Greti thinka indiid! Najaribu kupiga picha greti thinka wetu huyu alivokuwa anampenyezea bange hediticha wa Ujamaa praimari skuli!
haa haaaaaaaaaaa haa. chrispin bana! huyu bht keshanitaftia balaa sasa .kuna greti thinka limeniPM linataka jani la uzima aka bange. Lakini jamaa nishalihubiria neno la mungu limeahidi litaacha bange wis imidieti ifekti.
 
haa haaaaaaaaaaa haa. chrispin bana! huyu bht keshanitaftia balaa sasa .kuna greti thinka limeniPM linataka jani la uzima aka bange. Lakini jamaa nishalihubiria neno la mungu limeahidi litaacha bange wis imidieti ifekti.
hehehehe!unajua kokokwini nimehisi jambo hapa(LA KIJASILIAMALI,,)hii biashara inaweza kulipa hapa
 
haa haaaaaaaaaaa haa. chrispin bana! huyu bht keshanitaftia balaa sasa .kuna greti thinka limeniPM linataka jani la uzima aka bange. Lakini jamaa nishalihubiria neno la mungu limeahidi litaacha bange wis imidieti ifekti.

Huyo mtoto mchunge sana! Usijekuta kashamPM na invizibo akutwange ban! Anaogopa bange wakati kwa wengine ni mboga ya kutafunia ugali wa muhogo!
 
Huyo mtoto mchunge sana! Usijekuta kashamPM na invizibo akutwange ban! Anaogopa bange wakati kwa wengine ni mboga ya kutafunia ugali wa muhogo!
HEHEHE!kwa hiyo huwa analia lia kwa invizibo huyu?
 
hehehehe!unajua kokokwini nimehisi jambo hapa(LA KIJASILIAMALI,,)hii biashara inaweza kulipa hapa
deh deh deh! hili lijamaa siku likinikera lazima niliweke kwenye forum ya advataiz small small forum aka foram ya matangazo madogo madogo
 
Mi nakumbuka walimu saa ya matangazo ya kwenda nyumbani utasikia kesho nataka mje na fimbo, mbolea, maua, miiba, jembe, dumu la maji, majani sahani ya uji husisaau yani utafikiri ndicho kinachokupeleka shule, na enzi hizo ukifaulu darasa la saba yani mtaa mzima watajua, bt siku hizi hata ukienda chuo kikuuu ni normal tu
 
Huyo mtoto mchunge sana! Usijekuta kashamPM na invizibo akutwange ban! Anaogopa bange wakati kwa wengine ni mboga ya kutafunia ugali wa muhogo!
aargh wakiniban watanionea tu mie hiyo bange hata sijui kwa kiingereza inaitwaje. mie mtu wa imani bana!
 
deh deh deh! hili lijamaa siku likinikera lazima niliweke kwenye forum ya advataiz small small forum aka foram ya matangazo madogo madogo

Hebu niPM nem yake. Tunaweza negoshieti bizines flani na Saidi Mwema! Akili kumkichwa!
 
Hebu niPM nem yake. Tunaweza negoshieti bizines flani na Saidi Mwema! Akili kumkichwa!
kweli mpwa !tutafute hela za nauli...........makambako bia zinanyweka sana pia,ni lazima tuwe na pesam mingi
 
aargh wakiniban watanionea tu mie hiyo bange hata sijui kwa kiingereza inaitwaje. mie mtu wa imani bana!

Hahaha! Nimekumbuka wimbo mmoja nadhani wa burning spear kama sijakosea: Ligalaiz marijuana, end ai wil advataiz it!
 
Nakumbuka mwaka 1978 wakati wa vita tuliambiwa tuchimbe mahandaki shuleni, nilikuwa mtoro sana siku moja mwl akatubamba tumejificha humo siku nzima na wasichana.
 
Huyo mtoto mchunge sana! Usijekuta kashamPM na invizibo akutwange ban! Anaogopa bange wakati kwa wengine ni mboga ya kutafunia ugali wa muhogo!
kwani klorokwini unamuogopa invizibo??
 
Back
Top Bottom