Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,354
na wewe ng'angana hapo akushushie mabomu!
Afu we vipi? Naulizwa mimi, unajibu wewe? Ulivokuwa darasa la nne inaelekea ulikuwa unaiba nyama kwenye sufuria wewe!
na wewe ng'angana hapo akushushie mabomu!
mama naomba uwe mkweli tu!toka hapa,mi thipendi mambo yako
haa haaaaaaaaaaa haa. chrispin bana! huyu bht keshanitaftia balaa sasa .kuna greti thinka limeniPM linataka jani la uzima aka bange. Lakini jamaa nishalihubiria neno la mungu limeahidi litaacha bange wis imidieti ifekti.Hehehe! Hahaha! Hahaha! Greti thinka indiid! Najaribu kupiga picha greti thinka wetu huyu alivokuwa anampenyezea bange hediticha wa Ujamaa praimari skuli!
kwenye maslahi yako kuna insurable interest na inanihusu!!!!!!!!
mama naomba uwe mkweli tu!
SI TUNAJIKUMBUSHA ZAMANI...
umewahi kuota UNAMUMUNYA MTARIMBO?(Carmel2010)
hehehehe!unajua kokokwini nimehisi jambo hapa(LA KIJASILIAMALI,,)hii biashara inaweza kulipa hapahaa haaaaaaaaaaa haa. chrispin bana! huyu bht keshanitaftia balaa sasa .kuna greti thinka limeniPM linataka jani la uzima aka bange. Lakini jamaa nishalihubiria neno la mungu limeahidi litaacha bange wis imidieti ifekti.
hahaha!eeeh lakini uthitheme kwa mama tanichapa,au kinguo nguo?
haa haaaaaaaaaaa haa. chrispin bana! huyu bht keshanitaftia balaa sasa .kuna greti thinka limeniPM linataka jani la uzima aka bange. Lakini jamaa nishalihubiria neno la mungu limeahidi litaacha bange wis imidieti ifekti.
HEHEHE!kwa hiyo huwa analia lia kwa invizibo huyu?Huyo mtoto mchunge sana! Usijekuta kashamPM na invizibo akutwange ban! Anaogopa bange wakati kwa wengine ni mboga ya kutafunia ugali wa muhogo!
hahaha!
safi sana!mimi napenda mabinti wa kweli kama wewe!....isingekuwa hii projekti ya dada zake x-pin NINGEKUWOWA
deh deh deh! hili lijamaa siku likinikera lazima niliweke kwenye forum ya advataiz small small forum aka foram ya matangazo madogo madogohehehehe!unajua kokokwini nimehisi jambo hapa(LA KIJASILIAMALI,,)hii biashara inaweza kulipa hapa
aargh wakiniban watanionea tu mie hiyo bange hata sijui kwa kiingereza inaitwaje. mie mtu wa imani bana!Huyo mtoto mchunge sana! Usijekuta kashamPM na invizibo akutwange ban! Anaogopa bange wakati kwa wengine ni mboga ya kutafunia ugali wa muhogo!
deh deh deh! hili lijamaa siku likinikera lazima niliweke kwenye forum ya advataiz small small forum aka foram ya matangazo madogo madogo
kweli mpwa !tutafute hela za nauli...........makambako bia zinanyweka sana pia,ni lazima tuwe na pesam mingiHebu niPM nem yake. Tunaweza negoshieti bizines flani na Saidi Mwema! Akili kumkichwa!
aargh wakiniban watanionea tu mie hiyo bange hata sijui kwa kiingereza inaitwaje. mie mtu wa imani bana!
deh deh deh! jana kuna memba mpya alijiunga jana anaitwa shushushu.STUKA!Hebu niPM nem yake. Tunaweza negoshieti bizines flani na Saidi Mwema! Akili kumkichwa!
kwani klorokwini unamuogopa invizibo??Huyo mtoto mchunge sana! Usijekuta kashamPM na invizibo akutwange ban! Anaogopa bange wakati kwa wengine ni mboga ya kutafunia ugali wa muhogo!