Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,314
- 33,108
Mwalimu Mzee wa Rukhsa MR. Ben Mr J.K.
mkuu Father of All Siwezi kumtania Mr JK . Kwetu kumuoja Bwagamoyo halafu mimi si mtani wake na wala siwezi kumfikia kiumri kanizidi ki umri yupo sawasawa na kaka yangu halafu ni Rais wangu nachunga heshima yake mkuu samahani.Pale kwenye JK ungeweka msanii Vasco da Gama ingependeza au tuseme baba Vimwana Mbayuwayu bin Kihiyo bin Kichwa Ngumu.
mkuu Father of All Sehemu gani vile mkuu? Sijakuelewa vizuri.Mkuu kwa photo ulizotoa nimekuelewa siyo kukulewa. Kweli wabongo mna mambo eti huwezi kumtania zaidi ya kumkandia siyo?
dhaifuPale kwenye JK ungeweka msanii Vasco da Gama ingependeza au tuseme baba Vimwana Mbayuwayu bin Kihiyo bin Kichwa Ngumu.
mkuu Father of All Siwezi kumtania Mr JK . Kwetu kumuoja Bwagamoyo halafu mimi si mtani wake na wala siwezi kumfikia kiumri kanizidi ki umri yupo sawasawa na kaka yangu halafu ni Rais wangu nachunga heshima yake mkuu samahani.
Mkuu.@Father of Al Hujuwi Utalii ndio unaoingiza Pesa za kigeni?Pasipo kuja Watalii tutapata wapi Pesa za kigeni?
Huyo wa mwisho mbona swali halijakamilika? Halafu ana tabasamu kali!
LIWALO NA LIWE
SIJUI KWA NINI SISI MASKINI ANGALI TUNA KILA KITU!!:nerd::nerd:
mkuu Father of All Siwezi kumtania Mr JK . Kwetu kumuoja Bwagamoyo halafu mimi si mtani wake na wala siwezi kumfikia kiumri kanizidi ki umri yupo sawasawa na kaka yangu halafu ni Rais wangu nachunga heshima yake mkuu samahani.
Mkuu altaaf Mzee Mkapa hajaonewa kitu katuni yake ni nzuri kama jinsi inavyojieleza yeye Mzee mkapa si mfupi kisha anacho kifriji? sasa kwanini ameonewa?DUHH !!!!! Mkapa hapa ameonewa katuni yake sio mchezo ! na huyu wa mwisho hana woga na kupaa angani ama aliwahi kusomea urubani ?
mkuu Father of All Siwezi kumtania Mr JK . Kwetu kumuoja Bwagamoyo halafu mimi si mtani wake na wala siwezi kumfikia kiumri kanizidi ki umri yupo sawasawa na kaka yangu halafu ni Rais wangu nachunga heshima yake mkuu samahani.