Wakumaliza nae mwaka.

Umepima ngoma? je ww mwenyewe una umri gani? Maana usijekuwa Bi Kidude.
Kweli wewe nikashaija unawaza kwingineee, hiyo ngoma inatoka wapi tena, mi niko gado na sitaki kwenda na serengeti boy. Nadhani utakua umenipata umri wangu uko wapi.
 
Je tutatumia kinga? au kavukavu?
Mh kimbweka, hayo sio mambo yakuulizana mbele ya watu, mi lakini siku mention kitu kama hicho ndo maana sikusema kupima, nilihisi watu wasinge jitokeza. But its good idea kupima kabla ya kwenda.
 
na wewe toa sifa zako maana duuuh!sio mchezo hiyo trip.ila naogopa kusema niko tayari maana yaweza kua wewe ni zombi buree unamalengo yako mengine.ila itakua bahati sana kwako ukipata company yangu

Wewe bwana acha mambo mengi, umefika vigezo changamkia trip, au hujui kutumia uma na kisu nini unaanza kuogopa.
 
nakidhi vigezo ila nataka maisha yaendelee pamoja hata baada ya hizo tripuz. Kama haiwezekani kwaheri
 
Wapendwa wana Jf, kama tunavyoona mwaka ndo huo unamalizikia, mimi Mamushka ninatafuta mtu wa kumaliza nae mwaka. Sifa. Awe mwanaume mrefu, mweusi kiasi, aliejazia kakomaa mwili kidogo ila sio usoni iwe kwa mazoezi au ndo alivyozaliwa haijalishi. Kazi yake sio muhimu sana kwangu japo engineer ntampa kipau mbele, asiwe mlevi ila awe anakunywa kwa raha zake na si kupunguza mawazo, anaejua ku enjoy, kuogelea. Cost yote ya safari ni juu yangu . ITINERARY itakua kama ifuatavyo five dayz on safari, by Charter plane from DIA terminal one to Krigler airstrip Selou game reserve. Kupokelewa na Serena tranport to Mivumo Lodge, tutakaa two nights full board, King size bed, Game drive, Massage from a beatuful masseuse , Sundown with glass of cocktail,Bush dinner na pia tukishudia Lion in honeymoon. Then tutarudi DIA to Znz hapo tutaunganisha kwenda Nungwi Zanzibar for three nights full board, fishing, diving, swimming bila kusahau ku enjoy chakula kizuri na fresh from our beautiful country, kwakeli tutakua busy sana na ku enjoy .CONDITIONS. Lazima mtu huyo akubali mwaka mpya utukutie kanisani tukisali kokote tutakapo kua. Then tutarudi na kila mtu ataaendelea na mwaka wake mpya na mambo yake mengine kama kawaida. Ambaye yuko interested awasiliane na mimi. Kwa wengine wote I wish you Merry x-mas and Happy new year guyz. Nawapenda wote nawapenda sana wana Jf.

Mama nimetimiza vigezo hivyo vyote na kupitiliza.Nafanya mazoezi, six pack kubwa,handsome kwa kwenda mbele yaani we acha tu. Ukitaka hata leseni yangu ya uhandisi ili nikiwa nakarabati enjoyment jamaa wasiseme nafanya kazi za uhandisi bila kibali ntakupatia. Tatizo langu bwana mi napata steam baada ya kuona vitu vizuri. Kama roho haijapenda,mmmmhhhh! Offer ya mtu hapana! Please while inquiring about me, I would also like to inquire about you. Usije kunipandisha ndege halafu nikaishia kwa walioenda peke yao wakakosa company, lol.
 
Weka picha yako hapa tukuone. Usije ukawa unatisha kama jidume ndio maana unataka waliokomaa.
Pia useme unapendelea style ipi? ili tuanze mazoezi mapema.
Hapana mimi ninavutia kiasi chake, nataka walokomaa ili nika enjoy zaidi na sababu zangu. Style siwezi sema kwasababu sijasema waku do nae.
 
nakidhi vigezo ila nataka maisha yaendelee pamoja hata baada ya hizo tripuz. Kama haiwezekani kwaheri
Haaaa makoyo, dont be selfish heee kwa hiyo unataka ujibinafshe kabisaaa mtu wangu, haya bwana itategemea na tutakavyo enjoishana.
 
Mama nimetimiza vigezo hivyo vyote na kupitiliza.Nafanya mazoezi, six pack kubwa,handsome kwa kwenda mbele yaani we acha tu. Ukitaka hata leseni yangu ya uhandisi ili nikiwa nakarabati enjoyment jamaa wasiseme nafanya kazi za uhandisi bila kibali ntakupatia. Tatizo langu bwana mi napata steam baada ya kuona vitu vizuri. Kama roho haijapenda,mmmmhhhh! Offer ya mtu hapana! Please while inquiring about me, I would also like to inquire about you. Usije kunipandisha ndege halafu nikaishia kwa walioenda peke yao wakakosa company, lol.
Picha yangu ntakupa and im sure utaipenda tu, bila kupinga hilo ondoa shaka.
 
Mh kimbweka, hayo sio mambo yakuulizana mbele ya watu, mi lakini siku mention kitu kama hicho ndo maana sikusema kupima, nilihisi watu wasinge jitokeza. But its good idea kupima kabla ya kwenda.

eeh sorry nipo tayari kupima yukajivinjari sikukuu
 
Haaaa makoyo, dont be selfish heee kwa hiyo unataka ujibinafshe kabisaaa mtu wangu, haya bwana itategemea na tutakavyo enjoishana.
Haya bidada, kuhusu kuenjoy wala husipate tabu maana natumia ndukay
 
Guys kumbe sikuhizi na sisi wanaume tumeendelea kweli sisi ndio wa kwanza kuuliza kama kuna kupima duu sio mchezo yaani..Kitumbua kinaliwa tu kama mambo yanalipa sio mpaka kuuliza...ila hapo na mashaka..Mimi nipo out hapo umri hauniruhusu ila kama ungeshusha kama miaka 3 ingekuwa powa kabisa, nadhani ningefit hiyo sehemu kwa kila kitu!!
 
Wapendwa wana Jf, kama tunavyoona mwaka ndo huo unamalizikia, mimi Mamushka ninatafuta mtu wa kumaliza nae mwaka. Sifa. Awe mwanaume mrefu, mweusi kiasi, aliejazia kakomaa mwili kidogo ila sio usoni iwe kwa mazoezi au ndo alivyozaliwa haijalishi. Kazi yake sio muhimu sana kwangu japo engineer ntampa kipau mbele, asiwe mlevi ila awe anakunywa kwa raha zake na si kupunguza mawazo, anaejua ku enjoy, kuogelea. Cost yote ya safari ni juu yangu . ITINERARY itakua kama ifuatavyo five dayz on safari, by Charter plane from DIA terminal one to Krigler airstrip Selou game reserve. Kupokelewa na Serena tranport to Mivumo Lodge, tutakaa two nights full board, King size bed, Game drive, Massage from a beatuful masseuse , Sundown with glass of cocktail,Bush dinner na pia tukishudia Lion in honeymoon. Then tutarudi DIA to Znz hapo tutaunganisha kwenda Nungwi Zanzibar for three nights full board, fishing, diving, swimming bila kusahau ku enjoy chakula kizuri na fresh from our beautiful country, kwakeli tutakua busy sana na ku enjoy .CONDITIONS. Lazima mtu huyo akubali mwaka mpya utukutie kanisani tukisali kokote tutakapo kua. Then tutarudi na kila mtu ataaendelea na mwaka wake mpya na mambo yake mengine kama kawaida. Ambaye yuko interested awasiliane na mimi. Kwa wengine wote I wish you Merry x-mas and Happy new year guyz. Nawapenda wote nawapenda sana wana Jf.

...kumbe ni wewe uliyefanya hizi bookings?
Anyway,...i reserve further comments.
Enjoy the festive season.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom