Uko kati ya miaka hii? 34 to 40? If so basi mayb ur the one.Kazi yake sio muhimu sana kwangu japo engineer ntampa kipau mbele, asiwe mlevi ila awe anakunywa kwa raha zake na si kupunguza mawazo, anaejua ku enjoy, kuogelea.
Pls nipo interested sana na nipo serious Mamushika coz vigezo vyote ulivosema esp nilivokoleza utafikiri ushaniona!!
Pls nipe detail zako na nipate hili trip la kufunga mwaka!!!
Ooh jamani Bacha nilisahau asante kwa kunikumbusha, Age lazima awe kuanzia miaka, 34 mpaka 45 si mbaya kwangu.
Naomba mchakato wa kumpata utakaetoka nae, kwani tayari wameshazidi mmoja ikwa pamoja na mimi mwenye vigezo+, tafadhali uchakachuaji usitokee hapa. Naamini hutaishia tu kuanza mwaka bali utaning'ang'ania.
Contact details plz!
Hahaaa mh na inavyoonekana kweli unavigezo vyote tutaongea vizuri.
Pls nimwagie detail zako hata kwa Private kama unaona watakuwa wananionea wivu kujitwalia hii trip!!
Uko kati ya miaka hii? 34 to 40? If so basi mayb ur the one.
Sema kingine Mama swala la Umri usihofu.
Contact Pls!!!!
CONDITIONS. Lazima mtu huyo akubali mwaka mpya utukutie kanisani tukisali kokote tutakapo kua. .
yule mzungu ulimpotezea???:teeth:
Naomba mchakato wa kumpata utakaetoka nae, kwani tayari wameshazidi mmoja ikwa pamoja na mimi mwenye vigezo+, tafadhali uchakachuaji usitokee hapa. Naamini hutaishia tu kuanza mwaka bali utaning'ang'ania.
Contact details plz!
Aaa uchakachuaji hakuna jamani nasubiri waongezeke ni chague, si unajua wengine miaka itawaangushaaa.