Wakulima wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara kujiandaa kuandamana mpaka Ikulu!

LiverpoolFC

JF-Expert Member
Apr 12, 2011
11,348
3,219
Wakulima wa Vijiji viwili ya Nemalulu na Naberera Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wanajiandaa kuandamana mpaka Ikulu kama kigogo mmoja wa serikali tawala ataendelea na msimamo wake wa kuizuia ndege ya kunyunyuzia dawa ya kuua wadudu na ndege mbalimbali kama kweleakwelea kwenye mashamba heka 1000 za mtama mweupe unaolimwa maalum kbs kwa viwanda vya TBL.

Ndege hiyo ya kunyunyuzia ambayo inamilikiwa na Nchi tano ya Afrika ikiwemo Tanzania.
Wakulima hao ambao mazao yao yako hatarini kuteketea kwa wadudu hao na ndege walituma maombi mapema na kukubaliwa hivyo kuanza maandalizi ikiwemo kununua madawa pamoja mafuta ya ndege kama utaratibu ulivyo lakini kigogo huyo mwenye cheo kikubwa kwenye serikali tawala amezuia mpk hapo atakapo pata pesa Wilaya ya Hanang'.

Na ndipo wakulima hao wameitisha kikao cha maandalizi ya kuelekea Ikulu kwani hawataweza kuvumilia hasara ya mamilioni kwa wivu wa kiongozi fisadi mmoja.

My take!
Je? Huyu fisadi anataka kujineemesha yeye na familia yake na kuwaacha wanainchi wateseke kwa sababu ya ujeuri wa uongozi alionao ktk serikali.
Sasa wanainchi wamekataa katakata tabia yake na dawa ndiyo hiyo.

Wanaandaa maandamo mpaka Ikulu.
Source. Ni Mi mwenyewe!!
 
Ama kweli UBEPARI bado tunayo hapa Nchini.
Haya mashamba ya TBL yaliyoko kt ya Kijiji cha Nemalulu na Naberera miaka yote inahudumiwa na Ndege kwa kupigwa dawa kwa ajili ya viua vijeshi na wale ndege ya aina ya kueleaelea ambao ni hatari sana kwa mazao.
Sasa huuaga hii ndege ikipiga dawa inawanusuru na wale majirani wa hivi vijiji viwili na TBL wanamiliki ekari si chini ya buku na jero na ndipo hapo wakulima wa vijiji hv wanaponeaga hapo.
Na kama itakuwa imeingiliwa na Bepari la chama tawala hakika wanastahili kuandamana mpaka Ikulu na hata wasiende kwa mkuu wa mkoa kwani ndio wale wale.

Nawaunga mkono na Mi naona kama wamechelewa kwenda.
Mguu kwa mguu hawana haya hawa mabepari sugu wa Nchi yetu ya maziwa na asali!
 
Wakulima wa Vijiji viwili ya Nemalulu na Naberera Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wanajiandaa kuandamana mpaka Ikulu kama kigogo mmoja wa serikali tawala ataendelea na msimamo wake wa kuizuia ndege ya kunyunyuzia dawa ya kuua wadudu na ndege mbalimbali kama kweleakwelea kwenye mashamba heka 1000 za mtama mweupe unaolimwa maalum kbs kwa viwanda vya TBL.

Ndege hiyo ya kunyunyuzia ambayo inamilikiwa na Nchi tano ya Afrika ikiwemo Tanzania.
Wakulima hao ambao mazao yao yako hatarini kuteketea kwa wadudu hao na ndege walituma maombi mapema na kukubaliwa hivyo kuanza maandalizi ikiwemo kununua madawa pamoja mafuta ya ndege kama utaratibu ulivyo lakini kigogo huyo mwenye cheo kikubwa kwenye serikali tawala amezuia mpk hapo atakapo pata pesa Wilaya ya Hanang'.

Na ndipo wakulima hao wameitisha kikao cha maandalizi ya kuelekea Ikulu kwani hawataweza kuvumilia hasara ya mamilioni kwa wivu wa kiongozi fisadi mmoja.

My take!
Je? Huyu fisadi anataka kujineemesha yeye na familia yake na kuwaacha wanainchi wateseke kwa sababu ya ujeuri wa uongozi alionao ktk serikali.
Sasa wanainchi wamekataa katakata tabia yake na dawa ndiyo hiyo.

Wanaandaa maandamo mpaka Ikulu.
Source. Ni Mi mwenyewe!!
Nawashauri waandamane kwenda nyumbani kwako kwa huyo kigogo.....
 
Nasari alisema tukipatikana vijana 500 wenye spirit ya kuokoa nchi hii tungeenda magogoni kueleza matatzo ye2 akaambiwa mchochezi, hawa nao wanataka kwenda ikulu, nao wataambiwa wachochezi?
 
Nasari alisema tukipatikana vijana 500 wenye spirit ya kuokoa nchi hii tungeenda magogoni kueleza matatzo ye2 akaambiwa mchochezi, hawa nao wanataka kwenda ikulu, nao wataambiwa wachochezi?



Hapo ndio nasubiria nijue kama hawa wakulima ni wachochezi.
Na bila shaka hili kwa hawa wakulima itakuwa safi sana.

Mary Nagu hana hata haya ya kibinadamu!
 
Nasari alisema tukipatikana vijana 500 wenye spirit ya kuokoa nchi hii tungeenda magogoni kueleza matatzo ye2 akaambiwa mchochezi, hawa nao wanataka kwenda ikulu, nao wataambiwa wachochezi?
Hahaahahaha pale ikulu siku hizi siyo issue kabisa huya msikia Roma kwenye wimbo wake wa mathematics...
 
Back
Top Bottom