LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Wakulima wa Vijiji viwili ya Nemalulu na Naberera Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wanajiandaa kuandamana mpaka Ikulu kama kigogo mmoja wa serikali tawala ataendelea na msimamo wake wa kuizuia ndege ya kunyunyuzia dawa ya kuua wadudu na ndege mbalimbali kama kweleakwelea kwenye mashamba heka 1000 za mtama mweupe unaolimwa maalum kbs kwa viwanda vya TBL.
Ndege hiyo ya kunyunyuzia ambayo inamilikiwa na Nchi tano ya Afrika ikiwemo Tanzania.
Wakulima hao ambao mazao yao yako hatarini kuteketea kwa wadudu hao na ndege walituma maombi mapema na kukubaliwa hivyo kuanza maandalizi ikiwemo kununua madawa pamoja mafuta ya ndege kama utaratibu ulivyo lakini kigogo huyo mwenye cheo kikubwa kwenye serikali tawala amezuia mpk hapo atakapo pata pesa Wilaya ya Hanang'.
Na ndipo wakulima hao wameitisha kikao cha maandalizi ya kuelekea Ikulu kwani hawataweza kuvumilia hasara ya mamilioni kwa wivu wa kiongozi fisadi mmoja.
My take!
Je? Huyu fisadi anataka kujineemesha yeye na familia yake na kuwaacha wanainchi wateseke kwa sababu ya ujeuri wa uongozi alionao ktk serikali.
Sasa wanainchi wamekataa katakata tabia yake na dawa ndiyo hiyo.
Wanaandaa maandamo mpaka Ikulu.
Source. Ni Mi mwenyewe!!
Ndege hiyo ya kunyunyuzia ambayo inamilikiwa na Nchi tano ya Afrika ikiwemo Tanzania.
Wakulima hao ambao mazao yao yako hatarini kuteketea kwa wadudu hao na ndege walituma maombi mapema na kukubaliwa hivyo kuanza maandalizi ikiwemo kununua madawa pamoja mafuta ya ndege kama utaratibu ulivyo lakini kigogo huyo mwenye cheo kikubwa kwenye serikali tawala amezuia mpk hapo atakapo pata pesa Wilaya ya Hanang'.
Na ndipo wakulima hao wameitisha kikao cha maandalizi ya kuelekea Ikulu kwani hawataweza kuvumilia hasara ya mamilioni kwa wivu wa kiongozi fisadi mmoja.
My take!
Je? Huyu fisadi anataka kujineemesha yeye na familia yake na kuwaacha wanainchi wateseke kwa sababu ya ujeuri wa uongozi alionao ktk serikali.
Sasa wanainchi wamekataa katakata tabia yake na dawa ndiyo hiyo.
Wanaandaa maandamo mpaka Ikulu.
Source. Ni Mi mwenyewe!!