jamani andikeni walau kwa kifupi jamani.
Hiyo ni makala kutoka kwenye gazeti. Nimeiwakilisha ilivyoandikwa.jamani andikeni walau kwa kifupi jamani.
Ndio ati..., wanyama tutawatorosha na kuuza Qatar, Mtu bin-Adam utamtoreshea wapi?HT said:wanyama wanatengewa nafasi kwa kuwaondoa watu! Mh! Hii serikali inathamini sana wanyama kuliko watu?
wanyama wanatengewa nafasi kwa kuwaondoa watu! Mh! Hii serikali inathamini sana wanyama kuliko watu?