ahsante sana mkubwa, iam male in gender, but please i beg you, help me!Nafahamu kuna taasisi moja hutoa msaada wa kusomeshwa ktk level ya chuo (Kwa watoto wa kike tu). Ktk maelezo yako sijaona clue ya jinsia yako. Kwa kuwa taasisi yenyewe nimeisahau kidogo, nitafuatilia and will get back to you soon.
huyo mbunge wako ni kitunguu maji,kwanza kuna pesa za jimbo,pili juzi wamepewa fedha za sensa,tatu wameongezwa mshahara kutoka 7milion to 11milion,na rushwa kutoka nishati na madini mwambie apunguze kidogo akupe.