Wakubwa hodiii

MT255

JF-Expert Member
May 3, 2012
3,381
4,648
habari wanajamii forums wote mimi ni memba mpya humu naitwa mtoto wa kuku.Dhumuni la kujiunga ni kujaribu kuongeza maarifa upande wangu na kutoa ujuzi wangu kwa jamii naomba ushirikiano wenu.
 
Karibu Mkuu. Mtoto wa kuku, kila ukitaka kunyonya unaambiwa subiri kesho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom