Wakristu na Waislamu wa Misri walivyosimama pamoja kuupinga Utawala wa Kifisadi

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,476
39,995
Hawakukubali kugawanywa kwa misingi ya dini; hawakuwa tayari kuwekwa kwenye sanduku moja ambalo hawakutakiwa kutoka. Walijua wanasimamia nini na wanapinga kitu gani; walijua kabisa matatizo yao ya ujumla yanasababishwa na nini. Hivyo, japo vyombo vingi vya habari havikuonesha wazi sana ukweli ni kuwa wananchi wa Misri waliosimama dhidi ya utawala wa Mubarak walifanya hivyo bila kujali dini zao. Waliunganishwa na nia ya kuondoka na utawala wa kifisadi uliojikita madarakani kwa miaka thelathini.
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody><tr class="no-border allsizes-sizes"><th>
</th><td>
</td><td>
</td><td>
</td><td>
</td><td class="allsizes-selected">
</td><td>
</td><td><small></small> </td> </tr> </tbody></table>
5396135586_5d67b49310_z.jpg


Chini kundi la vijana wa Kikristu wakiwazunguka kuwalinda Waislamu wakati wa kuswali; Jumapili yake Waislamu waliwazunguka na kuwalinda Wakristu wakiadhimisha Misa Tahrir Square
moz-screenshot-1.jpg
tumblr_lg1hk3bPSz1qzz3teo1_1280.jpg


Wakristu na Waislamu wakishika alama za dini zao kuonesha umoja wao dhidi ya ufisadi na utawala wa kifisadi wa Hosni Mubarak

alg_egypt_koran1.jpg


Mmoja kashika Quran mwingine kashika Biblia - dhidi ya serikali ya utawala wa kifisadi


tahrir-unity.jpg



article-1354551-0D14258C000005DC-875_634x421.jpg
Diverse: Egyptian Christians held mass in Tahrir Square in Cairo in order to counter claims by state television that most of the anti-Mubarak protesters are members of the Muslim Brotherhood


Read more: Egypt protests: Hosni Mubarak turmoil 'will fuel illegal wave UK migration' warns Nato | Mail Online

copts-muslims.photoblog900.jpg
Hossam el-Hamalawy
Coptic Christians and Muslims unite in Tahrir Square in Cairo, Egypt in an image uploaded to Flickr on Feb. 2.


1933090_382b43ff87eb68bca6ea231973abe34b_wm.jpg


IMG_7412.jpg
Egytpian Christians march through Tahrir Square (matthew cassel)


WO-AE329_EGYPTM_G_20110206174543.jpg
<cite>Guy Martin</cite> Coptic Christians joined Muslim Egyptians to demonstrate unity as protesters in Tahrir Square on Sunday renewed their calls for the resignation of President Hosni Mubarak.




(Egyptians rally at Tahrir Square in downtown Cairo February 1, 2011/Amr Abdallah Dalsh)





This is one of many incredible photos from a wonderful gallery published by The Guardian. Very significant.

Here's the caption:
Protesters hold a Christian coptic cross and copies of the Qur'an as they take part in 'Sunday of the martyrs'. Photo: Amel Pain/EPA

My Take:
Mbele ya utawala wa kifisadi, tofauti zetu za kidini, kikabila na kilugha hazina nafasi. Ni lazima tuungane pamoja kuupinga utawala wa mfumo wa kifisadi kwani madhara yake hayabagudi dini, jinsia, rangi, elimu au makazi! (Picha zote vyanzo mbalimbali)









 

Attachments

  • 5396135586_5d67b49310.jpg
    5396135586_5d67b49310.jpg
    27.5 KB · Views: 47
nimeipenda hii, and this is dirrect example to our country Tanzania ambayo ishagawanywa kidini na wanasiasa
 
Yuko wapi yule Zubeda aliyesema hakukuwa na umoja wa dini zote kumuondoa Mubarak ?
 
Hawakukubali kugawanywa kwa misingi ya dini; hawakuwa tayari kuwekwa kwenye sanduku moja ambalo hawakutakiwa kutoka. Walijua wanasimamia nini na wanapinga kitu gani; walijua kabisa matatizo yao ya ujumla yanasababishwa na nini. Hivyo, japo vyombo vingi vya habari havikuonesha wazi sana ukweli ni kuwa wananchi wa Misri waliosimama dhidi ya utawala wa Mubarak walifanya hivyo bila kujali dini zao. Waliunganishwa na nia ya kuondoka na utawala wa kifisadi uliojikita madarakani kwa miaka thelathini.
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody><tr class="no-border allsizes-sizes"><th>
</th><td>
</td><td>
</td><td>
</td><td>
</td><td class="allsizes-selected">
</td><td>
</td><td><small></small> </td> </tr> </tbody></table>
5396135586_5d67b49310_z.jpg


Chini kundi la vijana wa Kikristu wakiwazunguka kuwalinda Waislamu wakati wa kuswali; Jumapili yake Waislamu waliwazunguka na kuwalinda Wakristu wakiadhimisha Misa Tahrir Square
moz-screenshot-1.jpg
tumblr_lg1hk3bPSz1qzz3teo1_1280.jpg


Wakristu na Waislamu wakishika alama za dini zao kuonesha umoja wao dhidi ya ufisadi na utawala wa kifisadi wa Hosni Mubarak

alg_egypt_koran1.jpg


Mmoja kashika Quran mwingine kashika Biblia - dhidi ya serikali ya utawala wa kifisadi


tahrir-unity.jpg



article-1354551-0D14258C000005DC-875_634x421.jpg
Diverse: Egyptian Christians held mass in Tahrir Square in Cairo in order to counter claims by state television that most of the anti-Mubarak protesters are members of the Muslim Brotherhood


Read more: Egypt protests: Hosni Mubarak turmoil 'will fuel illegal wave UK migration' warns Nato | Mail Online

copts-muslims.photoblog900.jpg
Hossam el-Hamalawy
Coptic Christians and Muslims unite in Tahrir Square in Cairo, Egypt in an image uploaded to Flickr on Feb. 2.


1933090_382b43ff87eb68bca6ea231973abe34b_wm.jpg


IMG_7412.jpg
Egytpian Christians march through Tahrir Square (matthew cassel)


WO-AE329_EGYPTM_G_20110206174543.jpg
<cite>Guy Martin</cite> Coptic Christians joined Muslim Egyptians to demonstrate unity as protesters in Tahrir Square on Sunday renewed their calls for the resignation of President Hosni Mubarak.




(Egyptians rally at Tahrir Square in downtown Cairo February 1, 2011/Amr Abdallah Dalsh)





This is one of many incredible photos from a wonderful gallery published by The Guardian. Very significant.

Here's the caption:
Protesters hold a Christian coptic cross and copies of the Qur'an as they take part in 'Sunday of the martyrs'. Photo: Amel Pain/EPA

My Take:
Mbele ya utawala wa kifisadi, tofauti zetu za kidini, kikabila na kilugha hazina nafasi. Ni lazima tuungane pamoja kuupinga utawala wa mfumo wa kifisadi kwani madhara yake hayabagudi dini, jinsia, rangi, elimu au makazi! (Picha zote vyanzo mbalimbali)










Ningejua namna ambayo watawala wetu wasingeiona hii thread, ningeipendekeza! Itawauma sana. Mzee mwanakijiji, Tanzania kwenyewe HAKUNA UDINI. Kuna rushwa, kuna dhuruma, ufisadi, uonevu, nk. i LOVE BOTH MUSELEMS AND CHRISTIANS OF TANZANIA. Nimeguswa sana na wana wa Mungu wa Misri jinsi wanavyopendana. Yaani Waislam wanawalinda wa Kristu wasali na wa Kristu wanawalinda wenzao Waislam waswali, WAO! This is very moving....
 
misri ndio nchi inayoongoza africa kwa graduates wa sheria...

na pengine kwa wasomi....


sisi tatizo letu ni kuwa mbumbu,bu ni wengi mno,na ndio wabeba bendera za udini wakisha rubiniwa na wanasiasa uchwara

safari bado ndefu...
 
nimeipenda hii, and this is dirrect example to our country Tanzania ambayo ishagawanywa kidini na wanasiasa

Natumai Muse A muse, Aswad Band, MaxShimba, Yeshua Hamelech wataipenda hii pia na kufuata mfano huu.
Inapendeza!
 
watu siku hizi hawataki kucheka na nyani!! siku 18 watu wamekomaa tu hadi jamaa aondoke!! hii ni pumzi ya ajabu

Kuna jamaa aliulizwa swali pale akajibu hajaiona familia kwa wiki mbili,sisi kila jioni tunataka kuonekana kwenye grocery ya jirani wapi na wapi tutaishia kunung'unika tu.
 
Nimekugongea senksi baba. Mwenye macho na aone,mwenye masikio na asikie..:clap2:
<input id="gwProxy" type="hidden"><!--Session data--><input onclick="if(typeof(jsCall)=='function'){jsCall();}else{setTimeout('jsCall()',500);}" id="jsProxy" type="hidden">
 
Mubarak alikuwa anadai Muslim Brotherhood ndio tatizo na kuwa wataleta udini; Wapo wanaosema Chadema ni chama cha kidini! Wanasahau kuwa mtoto wa Kikristu anapata kipindupindu kama mtoto wa Kiislamu; mtoto wa Kiislamu anafeli mitihani kama ilivyo mtoto wa Kikristu. Wakati umefika tuwashtukie viongozi wanaoleta udini ili kutugawa tusiwaondoe madarakani.
 
Hili no somo kubwa kwetu. Wamisri wangehadaika na kugawanishwa basi wasingemtoa dikteta kwa siku 18 !!. Moja ya silaha kubwa ya wakoloni na madikteta ni " Divide & Rule " yaani "Tenganisha na utawale" Watu waliotenganishwa fikra zao zote zipo kujidhuru wao wenyewe na dikteta anachekelea na kukaa kwenye uongozi.

Wakristu na Waislamu wana historia ndefu ya kukaa pamoja kwa amani kwenye nchi nyingi lakini kuna wachache wanao haribu.
 
Natumaini vijana wetu wanawez akuona kuwa kuna wakati tofauti zetu za kidini zinapaswa kuwekwa pembeni. Nilifurahii kuona Waislamu wanawazunguka Wakristu wakati wa Misa Tahrir square wakirudisha kile kilichofanywa Ijumaa na Wakristu. Na ukumbuke hawakuwa na kiongozi wa kuwaambia kuwa msifanye hivyo au fanyeni! Ilitoka moyoni.
 
Very good stuff. Hilini somo zuri sana... Nimependa MMK kwamba
PHP:
mtoto wa Kikristu anapata kipindupindu kama mtoto wa Kiislamu; mtoto wa Kiislamu anafeli mitihani kama ilivyo mtoto wa Kikristu.
 
Hili ni funzo kwa watawala wa kiafrika kama wana akili za kuelewa.misri wameonesha mfano ambao hapo awali nilidhani nguvu zimewaishia ! Hongera sana misri.huu upepo wa kuwaondoa watawala wa aina ya mubaraka ni lazima utafika huku kusini mwa afrika.
 
Hii imetulia kwelikweli, lakini huku kwetu watu wameshaanza kupofushwa na wanasiasa.
 
Back
Top Bottom