Afrika Furaha
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 329
- 9
Mungu kawachagua WAISLAMU wawakilishe wote duniani katika ibada ya kuuaga mwaka 2010 akaifanya siku ya mwisho wa mwaka IJUMAA.
Amewapa WAKRISTO uwakilishi wa wote katika ibada ya kukaribisha 2011, akaifanya JUMAPILI siku ya kwanza ya ibada kwa 2011
. . Lakini ni wangapi wako busy na maandalizi ya MAOVU usiku wa leo kiasi hawajaenda MISIKITINI? Wangapi wataamka nayo HAYO MAOVU jumapili kiasi cha kushindwa kwenda KANISANI??
Amewapa WAKRISTO uwakilishi wa wote katika ibada ya kukaribisha 2011, akaifanya JUMAPILI siku ya kwanza ya ibada kwa 2011
. . Lakini ni wangapi wako busy na maandalizi ya MAOVU usiku wa leo kiasi hawajaenda MISIKITINI? Wangapi wataamka nayo HAYO MAOVU jumapili kiasi cha kushindwa kwenda KANISANI??