Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
makame silima 30/05/2012 kwa 8:08 um · Ingia kujibu
Zanzibar imekuwa na waumini wa kikristo tokea enzi ya Sultani na tunaishi nao kama ndugu lakini wamekuja Maskofu kutoka Tanganyika wanaotaka kuwa juu zidi ya wanyeji ambao 99% ni waislamu wa Zanzibar wa bibi na babu.
Musituvuruge Wazanzibar mukakosa utulivu, agenda ya wazanzibar Serekali wanaijuwa kuwa ni Muungano na sio udini, dini wazanzibar Tayari wanayo.
Isiwe ccm kuchoma kanisa na kuwaparaganya waumini wa dini ndio na nyiyi wachunga kujaa tele,patawashinda Zanzibar na mutakosa udulivu na musizani kuwa jeshi la polisi litawaekea walizi mitaani katika jamii ya Wazanzibar.
Tunasema musituchokoze wazanzibar nikidogo lakini udogo wetu wa nyuki na sio wingi wa Nzi tukishahadia kuachana na ccm mutapata tabu Zanzibar.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...u-israil-kwa-ziara-ya-kikazi.html#post3965285
Hii kwenda Israil hawa kurudi baalaa? Kulikuwaa na Agenda nyuma ya Pazia .
Wale wasemao kuwa kwenda kwa watu hawa Seif Idd na Mtoto wa Lamu Israil hakuna heri kwa wananchi wa kislamu wa Zanzibar inawezekana ikawa kwela.
Tarehe 11 May 2012 watu hawa walikwenda Israil ili kwa kisingizio cha ziara ya ki-Serekali ili kwenda kuomba msada na mipango ili kukabiliana na majanga yatokeapo Zanzibar.
Sasa majanga yen ewe ni haya , Kanisa na Uislamu ,Uamsho ni kisingizio tu ,lakini agenda ilikuweko Zamani ikingojewa tu itokee kwa staili ili na wao watimize lao.
Ikiwa ni Kanisa na mambo mengine kuchomwa moto? Kwani ukristo Zanzibar umeanza jana na leo? Mbona yale Mahekalu ya Mkunazini na Minara miwili yapo tokea Enzi ya Utawala wa Ki-Sultani na Watu wanafanya ibata zao bila kunyukuliwa?.
Kuna watu nyuma ya mwevuli wa kisiasa wasio ipenda toka hapo awali Serekali ya Umoja wa Kitaifa SUK na kufanya kila njama kuleta vurugu la kutumia udanganyifu wowote ili kuvuruga mchakato wote.
Na hivi sasa wamepata kisingizio cha Kanisa basi ngao ni hio, tunao wa kirsto Wzanzibar wako kimya na wanajuwa ukweli kuwa hizi ni njama za wana siasa kutumia Wakristo wa Tanganyika (Maskofu wahamiaji ) kuleta vurugu kwa kisingizio cha udini kumbe agenda ni nyingine.
Hawa hawato fanikiwa zidi ya wenyeji ambao 99% ya Wazanzibar ni Waislamu na wako kwao kwa bibi na babu.
Kusema Uamsho wamefanya fujo eti kwa kuhubiri na kufanya maandamano ok? Lakini katika maandamano yao kauri na nini?.
Na kama kuhubiri kwa maneno ya uchechezi lipi la uchechezi walilosema kuvunjwa kanisa au kupigwa watu wa tini nyingine?.
Zanzibar kuna freedom speech ya mtu kuzungumza vyovyote na kama ni uchechezi kusema basi Tunakwendaa kwenye misa za wakristo na humo hamusemwii Maskofu hutapika kinyesi mbona hawa kamatwi kama kusema ni kukamatwa ?.
Na wengi wa Maskofu hao ni Watanganyika wamekuja tu hapa Zanzibar kwa kisingizio cha Muungano, na hivi sasa watumiliwa kwa majukumu ya kisiasa ku-spry sumu kwa wafuasi wao kwa matokeo mbali mbali ya hujuma .
Wengi wao hujiandikicha Zanzibar mara mbili kupiga kura na kufanya vitendo vingi tu visivyo endana na utamatuni wa Zanzibar , sasa kama wanataka kuonja sumu kujuwa kuwa inaua au vipi na watuchokoze ,watajuwa wazanzibar ni watu gani?.
Tumiliweni na wana siasa muone mutaishi vipi na jamii ya kizanzibar?. Tutatumia dini yetu kama silaha ya kuungana.
Zanzibar imekuwa na waumini wa kikristo tokea enzi ya Sultani na tunaishi nao kama ndugu lakini wamekuja Maskofu kutoka Tanganyika wanaotaka kuwa juu zidi ya wanyeji ambao 99% ni waislamu wa Zanzibar wa bibi na babu.
Musituvuruge Wazanzibar mukakosa utulivu, agenda ya wazanzibar Serekali wanaijuwa kuwa ni Muungano na sio udini, dini wazanzibar Tayari wanayo.
Isiwe ccm kuchoma kanisa na kuwaparaganya waumini wa dini ndio na nyiyi wachunga kujaa tele,patawashinda Zanzibar na mutakosa udulivu na musizani kuwa jeshi la polisi litawaekea walizi mitaani katika jamii ya Wazanzibar.
Tunasema musituchokoze wazanzibar nikidogo lakini udogo wetu wa nyuki na sio wingi wa Nzi tukishahadia kuachana na ccm mutapata tabu Zanzibar.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...u-israil-kwa-ziara-ya-kikazi.html#post3965285
Hii kwenda Israil hawa kurudi baalaa? Kulikuwaa na Agenda nyuma ya Pazia .
Wale wasemao kuwa kwenda kwa watu hawa Seif Idd na Mtoto wa Lamu Israil hakuna heri kwa wananchi wa kislamu wa Zanzibar inawezekana ikawa kwela.
Tarehe 11 May 2012 watu hawa walikwenda Israil ili kwa kisingizio cha ziara ya ki-Serekali ili kwenda kuomba msada na mipango ili kukabiliana na majanga yatokeapo Zanzibar.
Sasa majanga yen ewe ni haya , Kanisa na Uislamu ,Uamsho ni kisingizio tu ,lakini agenda ilikuweko Zamani ikingojewa tu itokee kwa staili ili na wao watimize lao.
Ikiwa ni Kanisa na mambo mengine kuchomwa moto? Kwani ukristo Zanzibar umeanza jana na leo? Mbona yale Mahekalu ya Mkunazini na Minara miwili yapo tokea Enzi ya Utawala wa Ki-Sultani na Watu wanafanya ibata zao bila kunyukuliwa?.
Kuna watu nyuma ya mwevuli wa kisiasa wasio ipenda toka hapo awali Serekali ya Umoja wa Kitaifa SUK na kufanya kila njama kuleta vurugu la kutumia udanganyifu wowote ili kuvuruga mchakato wote.
Na hivi sasa wamepata kisingizio cha Kanisa basi ngao ni hio, tunao wa kirsto Wzanzibar wako kimya na wanajuwa ukweli kuwa hizi ni njama za wana siasa kutumia Wakristo wa Tanganyika (Maskofu wahamiaji ) kuleta vurugu kwa kisingizio cha udini kumbe agenda ni nyingine.
Hawa hawato fanikiwa zidi ya wenyeji ambao 99% ya Wazanzibar ni Waislamu na wako kwao kwa bibi na babu.
Kusema Uamsho wamefanya fujo eti kwa kuhubiri na kufanya maandamano ok? Lakini katika maandamano yao kauri na nini?.
Na kama kuhubiri kwa maneno ya uchechezi lipi la uchechezi walilosema kuvunjwa kanisa au kupigwa watu wa tini nyingine?.
Zanzibar kuna freedom speech ya mtu kuzungumza vyovyote na kama ni uchechezi kusema basi Tunakwendaa kwenye misa za wakristo na humo hamusemwii Maskofu hutapika kinyesi mbona hawa kamatwi kama kusema ni kukamatwa ?.
Na wengi wa Maskofu hao ni Watanganyika wamekuja tu hapa Zanzibar kwa kisingizio cha Muungano, na hivi sasa watumiliwa kwa majukumu ya kisiasa ku-spry sumu kwa wafuasi wao kwa matokeo mbali mbali ya hujuma .
Wengi wao hujiandikicha Zanzibar mara mbili kupiga kura na kufanya vitendo vingi tu visivyo endana na utamatuni wa Zanzibar , sasa kama wanataka kuonja sumu kujuwa kuwa inaua au vipi na watuchokoze ,watajuwa wazanzibar ni watu gani?.
Tumiliweni na wana siasa muone mutaishi vipi na jamii ya kizanzibar?. Tutatumia dini yetu kama silaha ya kuungana.