Na taa kubwa ya mbele pamoja na nyuma?Elfu themanini unapata shauri moyo.
umepewa jibu hapo...ila bei inaweza kupungua au kuzidi zipo mpya/usedHebu nijibu hili kdg mkuu. Hivi shock up moja ya nyuma ya GX110 enaweza fika tsh ngapi?
Elfu themanini unapata shauri moyo.
Naomba msaada wa ubora na ubaya wa Mark II Grande GX110. CC1988. Nataka ninunue hili gari kwa shughuli zangu binafsi. Asante. Cc Mshana jr, LEGE, RRONDO na wakongwe wengine. Asanteni.
Mkuu unajaribu kutaka kusema nn?
Nadhani wewe ndie ulieshindwa kunielewaacha kumdanganya na kumfanya mwenzako aogope. hizo gari hazinywi mafuta kama unavyofikiria. inakula kawaida kama utafuata masharti yote ya gari lolote lile.