Wako wapi wanunuzi wa madini?

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,277
6,673
Msaada wenu waungwana, nikiwa hapa Dar naweza kuuza wapi
madini km Almasi, dhahabu n.k naomba msaada wenu tafadhali
kwani ni zaidi ya mwezi sasa sijajua nikauzie wapi mzigo wapu
 
Nawashukuruni, wiki hii nitakutanishwa na mnunuzi.
 
Nawashukuruni, wiki hii nitakutanishwa na mnunuzi.

hapo bold kuwa muangalifu yasijekukuta ya wale jamaa wa mahenge. Nafahamu bank huwa wananunua madini, jaribu kupita kwenye mabank kufahamu taratibu za uuzaji na bei
 
Msaada wenu waungwana, nikiwa hapa Dar naweza kuuza wapi
madini km Almasi, dhahabu n.k naomba msaada wenu tafadhali
kwani ni zaidi ya mwezi sasa sijajua nikauzie wapi mzigo wapu
Mwana JF leo ni karibu mwaka mbona huleti feedback hata kama ni skeleton tu!? Funguka bana kama jina lako lilivyo GAZETI.
 
Mkuu niliuza, nilipata mil12.

Kwan yanapatikana wap mkuu,? ulichimba mwenyewe au ylinunua? maisha magumu bana na hiz biadhara zetu za matunda noma bana yanaoza tu! Co vibaya kama una habar njema ukanipa PM mkuu!
 
Kwan yanapatikana wap mkuu,? ulichimba mwenyewe au ylinunua? maisha magumu bana na hiz biadhara zetu za matunda noma bana yanaoza tu! Co vibaya kama una habar njema ukanipa PM mkuu!
Mimi niliyapata Msumbiji, tena ni hukuhuku mpakani na TZ si mbali sana
kutoka Mweda hadi huko tena huko sikwenda kwa lengo la madini nilipeleka
Laptop.
 
Mkuu niliuza, nilipata mil12.

Hongera sana Mkuu. Naamini kwa sasa ufukara au "umasikini" kwako ni hadithi. Hongera sana, Mayope anasubiri maelezo naye afuate hizo nyayo. Ni kweli Msumbiji kuna madini sana na hawajatumia sana. Tunasubiri.
 
We ni broker ama kama we ni mwenye mali niambie wapi upo nikupeleke Nairobi najua wapi pa kuuzia.Ila 10% itanihusu.

Unafanya biashara hii ya madini...mimi nataka kuianza na natafuta maeneo/wauzaji...kama unaufahamu zaidi wa biashara hii unaweza kuni-pm.thanks
 
kaka naona we ulipata msaada nami naitaji msaada wa wanunuzi wa madini aina ya kasheshe
maana ninayo lakini sijajua soko liko wapi plz......plz.......
nisaidie
 
kaka naona we ulipata msaada nami naitaji msaada wa wanunuzi wa madini aina ya kasheshe
maana ninayo lakini sijajua soko liko wapi plz......plz.......
nisaidie

mkuu haya kasheshe ndo aina gani tena aisee??
 
Mkuu GAZETI,

Naomba tuwasiliane na ingawa kwa sasa sina mtu anayetaka kununua. Tatizo kubwa kwa Tanzania ni kuwa watu wanataka uwalipe hela wakati mzigo hujauona. Kama utakuwa na mzigo mkubwa na upo tayari kuupeleka Dubai au Switzland ambako wanapima (kwa Almasi) au kuisafisha dhahabu na hapo mnauziana kwa bei ya Pure Gold basi wewe tuwasiliane na ntajaribu kukuulizia wanunuzi.

Kuna jamaa wengi wametapeliwa pesa zao na jamaa mmoja kutoka hapa Poland aliibiwa hela zake Bongo na aliporudi akapata ugonjwa wa moyo na alishajifia siku nyingi. Hivyo uaminifu ndiyo huwa tatizo kubwa hasa kwa wale wanaotaka kuuza madini nje ya nchi. Ila kama una COPPER yaani Shaba basi tuwasiliane kwani hiyo inahitajika sana kwa sasa.

Kama kuna mtu ana Aluminium hasa wale walioko Mzumbiji basi tuwasiliane haraka sana.

Angalizo tu kidogo: Hakuna malipo yoyote yatatolewa hadi mnunuzi awe na uhakika wa mzigo na mzigo akabidhiwe Agent wa kuusafirisha. Inashangaza mtu anauza tani 1,000 ya Copper ila hana fedha za kuuchukua mzigo kutoka hapo kwake na kuupeleka Bandarini na anatataka malipo kidogo ya kuanzia kazi. Mtu kama huyu huwa hata sina hamu ya kuendelea kuwasiliana naye. Mzigo ukishahakikishwa ni wa uhakika, katika Neutral point au kampuni yenye kupima na kuchukua mzigo, basi malipo yatafanyika hapo hapo na si kabla.
Msaada wenu waungwana, nikiwa hapa Dar naweza kuuza wapi
madini km Almasi, dhahabu n.k naomba msaada wenu tafadhali
kwani ni zaidi ya mwezi sasa sijajua nikauzie wapi mzigo wapu
 
Lara 1, kama anaaminika basi naomba contact zake au mjulishe contact zangu tuwasiliane.

Kama anajua biashara za kimataifa ambazo anaweza kufanya na Makampuni na si watu binafsi basi tuwasiliane. Ila kama ana deal na kiwango kidogo na watu binafsi tu, basi kwenye makampuni itakuwa ngumu sana kwake. Naandika hivyo baada ya kuwa na ka uzoefu kidogo kwani kwa Tz, wengi wanataka kufanya biashara za uchochoroni ili wamtapeli mtu au Wakwepe kodi. Sasa ikishakuwa kufanya biashara na kampuni au shirika, inawawia ngumu sana kwao.

Mawasiliano yangu: email>> SSAMBALI@HOTMAIL.COM. Simu: +48-503535735.


Kuna mtu anaitwa Msuya yupo Knyama opp na soko, ni bonge ya expoter!!!!!!!!!! Afu anaaminika mpare yule!
 
Back
Top Bottom