Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Dinnah, Shantel.......nimewamiss kiukweli!!!
Nashangaa hata mimi kupotea kwake....Hivi Bujibuji mkewe alimpiga server ban eeh? Ama ka-RIP?
Excellent yupo chuoni, huwa hapendi kuchanganya jf na masomo ndio mana kapozi kwanza!
FF kala ban!
NN ngoja nambipu akuje sasahivi!
figa niga atakuwa kaunizwa na madem wa suger ray or alikuwa anakula chabo sehemu akatobolewa macho!!
figa niga atakuwa kaunizwa na madem wa suger ray or alikuwa anakula chabo sehemu akatobolewa macho!!
Mie nimemmiss Mpole eti!
yupo analea sasa hivi huyu mheshimiwa mtarajiwa..
Klorokwin naye haonekani siku hiz.Yupo wapi Nyumba kubwa? Nimemmiss sana huyu mama.
Klorokwin naye haonekani siku hiz.
Kulikon?
Thanks much kutukumbuka,mi shughuli zilinibana ila narudi upya,tutakuwa pamojaKuna wanaJF nilishawazoea na kuwapenda kwa michango na hamasa zao hapa JF lakini muda mrefu sijawaona. Ni hawa wafuatao: Execellent, FaizaFoxy,Sikapal na NyaniNgabu.Wako wapi? Au wamekula ban? Mungu apishe mbali!
kumbe wewe sio mwanafunzi.kumbe excellent bado mwanafunzi?aangalie asije akamwanaasha
Excellent yupo chuoni, huwa hapendi kuchanganya jf na masomo ndio mana kapozi kwanza!
FF kala ban!
NN ngoja nambipu akuje sasahivi!