Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,422
- 85,852
Tangu juzi kumekuwa na taarifa mbali mbali kwenye vyombo vya habari kuwa kuna vitoto a.k.a Videnti toka Arusha vinakula gudtyme mjini bongo.....na JF member wakaanzisha topic, well, nilichangia kwa mtazamo tofauti mabapowengi waliniona kama kituko fulani hivi.....nikaaama jana kufuatilia ninakokujua mimi, habari za uhakika ni kwamba vilishatoroka na havipo tena...Sasa kama kweli hawa ni Wanafunzi na walikuwa wanahitaji msaada kilichowatorosha leo ni kipi? Je tutaamini vipi kweli kama ni wanafunzi na sio machangudoa wabichi wabichi? Michango yangu niliiweka kwenye thread hii https://www.jamiiforums.com/mahusia...funzi-wawili-wa-kike-watelekezwa-guest-3.html
Mimi ni Mwalimu kitaaluma tena mwenye degree ya miaka minne sio mitatu, mwenye uzoefu mzuri tu ikiwa ni pamoja na Counselling and Guidence skillls, nimekuwa nikifundisha shule tofauti za mijini na vijijini kabla ya kuiacha kama miezi mitatu hivi iliyopita...... I know hawa watoto wetu, si watoto tena jamani.....Wazazi kwa asilimi 10000% tumekuwa chanzo cha kupotoka kwa maadili ya watoto hawa; leo asubuhi maeneo ya pale External nikaowana watoto wa kike wakiwa wanasubiri usafiri kwenda shule, nikaangalia style ya nywele zao za kiuanafunzi, nikaangalia uvaji wa hayo mashati ya shule kisha nikamalizia na sketi style iliyovaliwa na kushonwa, nikasikitika sana sana, yaani akiwa nyumbani hana tofauti labda na changudoa yoyote yule mwingine; lipshine, vifungo vya shati wazi, sketi usiseme...,kweli tunawapenda???
Well, I experienced a lot na hawa watoto, nitawaambia mifano mingi zaidi....lakini kabla ya hapo swali la msingi m=ni kwamba; Ni wapi wamekwenda mabinti hawa wa rusha "waliokosa nauli" ya kurudia kwao???
Mimi ni Mwalimu kitaaluma tena mwenye degree ya miaka minne sio mitatu, mwenye uzoefu mzuri tu ikiwa ni pamoja na Counselling and Guidence skillls, nimekuwa nikifundisha shule tofauti za mijini na vijijini kabla ya kuiacha kama miezi mitatu hivi iliyopita...... I know hawa watoto wetu, si watoto tena jamani.....Wazazi kwa asilimi 10000% tumekuwa chanzo cha kupotoka kwa maadili ya watoto hawa; leo asubuhi maeneo ya pale External nikaowana watoto wa kike wakiwa wanasubiri usafiri kwenda shule, nikaangalia style ya nywele zao za kiuanafunzi, nikaangalia uvaji wa hayo mashati ya shule kisha nikamalizia na sketi style iliyovaliwa na kushonwa, nikasikitika sana sana, yaani akiwa nyumbani hana tofauti labda na changudoa yoyote yule mwingine; lipshine, vifungo vya shati wazi, sketi usiseme...,kweli tunawapenda???
Well, I experienced a lot na hawa watoto, nitawaambia mifano mingi zaidi....lakini kabla ya hapo swali la msingi m=ni kwamba; Ni wapi wamekwenda mabinti hawa wa rusha "waliokosa nauli" ya kurudia kwao???