nakumbuka hawa jamaa walisumbua sana na "bongo.com" na "like that" pia...nani mwenye habari za hawa jamaa mcli na "black twins" waliojitoa?
nakumbuka hawa jamaa walisumbua sana na "bongo.com" na "like that" pia...nani mwenye habari za hawa jamaa mcli na "black twins" waliojitoa?
TNG wapo,kuna Jamaa m1 yule aliyepiga chorus ya bongo.com tunakimbiza kabisa nachoka kabisa kawa producer na manger wa bongo movie,Ametangaza nia ya kumuoa Rose Ndauka na sasa ni wachumba.