wako wapi TNG squard?

Lavit

JF-Expert Member
May 16, 2011
13,103
26,970
nakumbuka hawa jamaa walisumbua sana na "bongo.com" na "like that" pia...nani mwenye habari za hawa jamaa mcli na "black twins" waliojitoa?
 
nakumbuka hawa jamaa walisumbua sana na "bongo.com" na "like that" pia...nani mwenye habari za hawa jamaa mcli na "black twins" waliojitoa?

Hizo Zote mchumba,
Kitu kilikua "Ring on It"
 
TNG wapo,kuna Jamaa m1 yule aliyepiga chorus ya bongo.com tunakimbiza kabisa nachoka kabisa kawa producer na manger wa bongo movie,Ametangaza nia ya kumuoa Rose Ndauka na sasa ni wachumba.
 
TNG wapo,kuna Jamaa m1 yule aliyepiga chorus ya bongo.com tunakimbiza kabisa nachoka kabisa kawa producer na manger wa bongo movie,Ametangaza nia ya kumuoa Rose Ndauka na sasa ni wachumba.

kaonyesha ujasiri!!manake....anyway!
 
Back
Top Bottom