Wako Wapi Hawa?

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
ooo+gk.jpg

King Crazy Gk

IMG_0002.JPG

Kyanga Kasaloo
Nawakumbuka sana hawa jamaa na kuna wengine wengi tu walivuma lakini sijui wako wapi sasa hivi kwenye ulimwengu huu wa muziki?
 
kuna O-ten, Soggy Doggy, Sister P, Rah P, Zay B n.k.....sijui wamefia wapi wote hawa
 
Crazy Gk alirudi shule, anasoma sasa

Ndio Mkuu unachokisema ni kweli na sio kama hao wengine wanasema ati alikuwa mzurumati GK namfahamu sana tokea enzi za MOA (Mwange Open Academy) hana tabia za kudhurumu mtu hata siku mmoja alikuwa mtu peace sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom