mi nilishastuka kitambo alfu thred inasema unaagiza nn sasa hicho ni cha kuagizwa?
darling...., ukitoka job nipitie niko MK plzzzzzzzzz!
upo juu au chini ili nije 'moja kwa moja'....
chana nywele hata kama una kipara!upo juu au chini ili nije 'moja kwa moja'....
hahaaaa ngoja niende mie nitawaona huko huko B!!!
chana nywele hata kama una kipara!
LOL hebu angalia apo juu? yaani sikuwezi B....LOL...ngoja nisubiri jibu nitakudipu
hahaaaaa B ujue ni jioni am just about to break my fast so plz spare me LOL!!!
NAFWA MIE WEE!!! JIBU TENA UTANIKUTA MBELE B!!
hahaha kuna mmoja apo alisema kuwa huwa anaagizwa azilete, sasa ndugu yangu ndo katia neno kuwa anamvalisha kabisa and am like....kha!
hakuna aliyesema hawana hadhi,
miguu ya kuku, utumbo wa kuku maana yake nini? Watake radhi wa uswazi